Recent content by bwakya

  1. B

    Kitima: Wekeni kumbukumbu za mauaji ya MO29, aliyeagiza lazima atawajibika tu jinai huwa haifi

    Na watakufa na wao maana daima damu inadai damu
  2. B

    Tunaposema Shetani hana rafiki muwe mnaelewa, Mwangalieni Tulia Ackson kama Mfano kamili

    Siku zaja na za kubwa lao Mungu akiamua inawezekana haraka sana
  3. B

    Hii vita ya mtandaoni Tanganyika na Zanzibar mbona kama imepamba moto

    Na hatuwezi kuendelea kuwa mateka wa waarabu. Wazanzibar tutwakata vichwa na tutawafukuZa nchini mwetu
  4. B

    2015 ndio ilikuwa mara ya mwisho Tanzania kuwa na uchaguzi, tusichanganyikiwe

    Wewe ndo unachanganyikiwa bosi. Ni lini kuliwahi kuwa na uchaguzi hapa Tanzania ama labda huko nyuma ulikuwa hujazaliwa. Kama tuliwahi kuwa na uchaguzi kabla ya 2015, ya wapi matokeo ya uchaguzi mwaka 2010?. Maana ya uchaguzi ni pale taratibu zinapohitimishwa na matokeo ya wazi, Sasa tukuulize...
  5. B

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Wauane tu maana damu za watu bado zinawadai na hili halikwepeki ni lazima Ile damu iwalipukie wauaji wote
  6. B

    Katambi: Hatulei watoto katika misingi ya maadili wanakosa uzalendo

    Vipi bosi wako yy alilelewa kwenye maadili gani mbona mikonon ya damu?
  7. B

    Rostam Aziz: Wakenya lazima mbadilike, someni alama za nyakati, Kenya sio mkubwa kuliko wenzake wote

    Pale mwizi anapoonekana msamalia mbele ya macho ya watu. Kenya mtakuja kuumia sana na mtakuja kujuta sana
  8. B

    Kwa hiyo Zanzibar wananunua mchanga wa Tanzania Bara halafu mapato ya mauzo yanarudi upya Zanzibar kujenga miradi mipya ya Muungano?

    Bro, mbona hili li wazi. Zanzibar ni nchi ya mbali sema wanatumia ujinga wetu watanganyika kuiba na kuhamisha Kila kitu kutoka Tanganyika ..nchi yetu Iko mikononi mwa wakoloni Zanzibar. Tulitawaliwa na weupe sahivi Tanganyika ni koloni la Zanzibar
  9. B

    Kwa hiyo Zanzibar wananunua mchanga wa Tanzania Bara halafu mapato ya mauzo yanarudi upya Zanzibar kujenga miradi mipya ya Muungano?

    Bro, mbona hili li wazi. Zanzibar ni nchi ya mbali sema wanatumia ujinga wetu watanganyika kuiba na kuhamisha Kila kitu kutoka Tanganyika ..nchi yetu Iko mikononi mwa wakoloni Zanzibar. Tulitawaliwa na weupe sahivi Tanganyika ni koloni la Zanzibar
  10. B

    CHADEMA yakutana na Mwakilishi wa UN, ni kuhusu Mauaji ya kupangwa ya octoba 29, Moto umewaka

    Sidhani kama hii Inalenga penye maana kwa raia wa nchi hii. Huu ni usanii na wanatafuta kuneutralize ...na Wala tusikae kuwategemea Hawa wahuni
  11. B

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Anahangaika sana na kupendwa lakini haitokuja kuwa tena ...hata awaasili maelfu, kama hawezi kujinyenyekesha kwa raia waliopoteza watoto na ndugu zao 29 ni kazi Bure. Watanzania hawamtaki, period.
Back
Top Bottom