Recent content by bwakya

  1. B

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    A Grain of Wheat. A seed has to be buried deep into the soil first so it can bear fruits. By Ngungi wa Thiong'o.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Vijana waanza kuulizia Ratiba na Njia za maandamano ya Amani ya 7/7

    Msijaribu kutoa ratiba hasa ya njia hadharani watu wako kazini kusoma codes hapa ...ni tahadhari tu. 29/10 ni darasa tosha katika namna nyingi sana
  3. B

    JamiiForums Tanzania Vijana waanza kuulizia Ratiba na Njia za maandamano ya Amani ya 7/7

    Kaburu mweusi ..mkoloni mwenye sura ya kiafrika.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Nielimishwe: Je, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika baadhi ya mikoa ya Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?

    Hili ndo tatizo la kulazimisha undugu wa kufoji, ona Sasa eti tuliungana. Tuliungana Nini Sasa ama mikia tu?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kaimu Waziri wa Afya-Saada: Hatuwezi Kuwatibu wasio Wazanzibari

    Tulisema sana na hatukusikilizwa kwamba huu muungano si muungano, ni usanii tu Wala hamkuelewa. Ona Sasa watanganyika mnavyozodolewa na kuidhalilisha nchi yenu Tanganyika. Yaani hadi huruma sana🤔🤔
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kaimu Waziri wa Afya-Saada: Hatuwezi Kuwatibu wasio Wazanzibari

    Je mfano tukasema hakutibiwa bara Bali alitibiwa na JMT ..vipi hapo pamekaaje na kipi ni kipi hapa?
  7. B

    JamiiForums Tanzania CDF Jenerali Jacob Mkunda: Nchi Haijengwi Na Wahuni na Mateja

    Shibe inalevya zaidi ya pombe
  8. B

    JamiiForums Tanzania CDF Jenerali Jacob Mkunda: Nchi Haijengwi Na Wahuni na Mateja

    Shibe inalevya zaidi ya pombe
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Acha alisaidie Taifa lake, kama ingekuwa anafanya haya kwa ajiri ya Burundi ndo tungeshangaa mno
  10. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ufafanuzi wa Serikali Kuhusu Kura ya Kamati za Bunge la Ulaya (EU) Dhidi ya Tanzania

    Mtakunya Mafi mara hii ...acha wakupakate vizuri. Huu ufafanuzi ni kwa waswahili watanzania wenye lugha Yao, wewe kama muingeleza kaa kushoto
  11. B

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Wewe ni nani nchi hii katiba imekupa cheo gani ili utuoe ufafanuzi huu? Yaani wewe unatoa kauli hii kama nani?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Yapo mambo yanaendelea kwa sasa si mazuri kwa afya ya chama chetu (CCM)

    Hata wangekuja waganga kutoka Babel, kifo Cha ni lazima. Labda kama Dunia haikuumbwa na mwenye miliki yake, CCM mmefikia hatua ya kumsubtitute Mungu. Sasa hata mtembee kwa miguu mpaka sayari ya mars ni lazima litokeee
  13. B

    JamiiForums Tanzania Yapo mambo yanaendelea kwa sasa si mazuri kwa afya ya chama chetu (CCM)

    Aha aha aha, Umuofia kwenu!!! 🙏
  14. B

    JamiiForums Tanzania Mlinzi Maarufu wa Hayati Dkt Magufuli atua Kibabe Urusi katika Msafara wa Rais Samia. Amekuwa kivutio Mitandaoni wakati akisalimiana na Rais Samia

    Labda hii itakuwa ni AI imeanza kutuathiri bongo zetu, maana nimejaribu kutaka kuelewa ulichokisudia Wala sijaambulia hata tone. Sielewi hapa habari ni ipi?
  15. B

    JamiiForums Tanzania Muswada wa bunge la Marekani dhidi ya Tanzania: Vita imetangazwa rasmi

    Yote nimekubaliana nayo ila pale kwenye suruhisho umeingiza fairness ambayo pia bado inaliacha taifa kwenye hatari. Kuacha kuwataka wahusika kuwajibika. Uwajibikaji ni muhimu na itakuwa ni rahisi sana kulileta taifa katika umoja, amani na utulivu wake kwasababu jamii nzima ya watanzania...
Back
Top Bottom