Tulisema sana na hatukusikilizwa kwamba huu muungano si muungano, ni usanii tu Wala hamkuelewa. Ona Sasa watanganyika mnavyozodolewa na kuidhalilisha nchi yenu Tanganyika. Yaani hadi huruma sana🤔🤔
Hata wangekuja waganga kutoka Babel, kifo Cha ni lazima. Labda kama Dunia haikuumbwa na mwenye miliki yake, CCM mmefikia hatua ya kumsubtitute Mungu. Sasa hata mtembee kwa miguu mpaka sayari ya mars ni lazima litokeee
Labda hii itakuwa ni AI imeanza kutuathiri bongo zetu, maana nimejaribu kutaka kuelewa ulichokisudia Wala sijaambulia hata tone. Sielewi hapa habari ni ipi?
Yote nimekubaliana nayo ila pale kwenye suruhisho umeingiza fairness ambayo pia bado inaliacha taifa kwenye hatari. Kuacha kuwataka wahusika kuwajibika. Uwajibikaji ni muhimu na itakuwa ni rahisi sana kulileta taifa katika umoja, amani na utulivu wake kwasababu jamii nzima ya watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.