Yote nimekubaliana nayo ila pale kwenye suruhisho umeingiza fairness ambayo pia bado inaliacha taifa kwenye hatari. Kuacha kuwataka wahusika kuwajibika. Uwajibikaji ni muhimu na itakuwa ni rahisi sana kulileta taifa katika umoja, amani na utulivu wake kwasababu jamii nzima ya watanzania...
Nilitaka nikomenti kitu hapa lakini vichapo ulivyovipata vinatosha sana. Ni dhambi kubwa sana kumlamba binadamu mwenzio miguu na utakuja kufa kwa laana wewe
Ndo kwanza kama nyie mmezima sie taa zimewashwa. Ama kupindua ama kupindua itajulikana baadae ila lazima mjue kwamba hii nchi si shamba la kufugia ng'ombe wenu
Atumie pesa ya raia wa nchi hii kuandaa ripoti yake mwenyewe na kwamba raia haiwahusu? Siku ukifa tutakunywa sana bia na kutembea tukiimba kwa furaha sana we sura mbaya
Na ndo dawa kwamba unakuwa na kiburi na dharau kwa wananchi kwanini wasikupinde? Na ana bahati lakini asijidanganye ..siku zaja maana tumejifunza mengi sana siku ijayo itakuwa ya kushtukizana
Na ndo dawa kwamba unakuwa na kiburi na dharau kwa wananchi kwanini wasikupinde? Na ana bahati lakini asijidanganye ..siku zaja maana tumejifunza mengi sana siku ijayo itakuwa ya kushtukizana
Zack Abdul kwa avatar Yako na kujiunga kwako machi hapa Jf kunasema mengi sana na kujibu mengi sana. We all know, una mission na mmoja wa Wana mission so keep it up. But mind you, there ever had the so called Roman great empire, there lived great men of whom once uttering you couldn't dare raise...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.