Wewe ndo unachanganyikiwa bosi. Ni lini kuliwahi kuwa na uchaguzi hapa Tanzania ama labda huko nyuma ulikuwa hujazaliwa. Kama tuliwahi kuwa na uchaguzi kabla ya 2015, ya wapi matokeo ya uchaguzi mwaka 2010?. Maana ya uchaguzi ni pale taratibu zinapohitimishwa na matokeo ya wazi, Sasa tukuulize...
Bro, mbona hili li wazi. Zanzibar ni nchi ya mbali sema wanatumia ujinga wetu watanganyika kuiba na kuhamisha Kila kitu kutoka Tanganyika ..nchi yetu Iko mikononi mwa wakoloni Zanzibar. Tulitawaliwa na weupe sahivi Tanganyika ni koloni la Zanzibar
Bro, mbona hili li wazi. Zanzibar ni nchi ya mbali sema wanatumia ujinga wetu watanganyika kuiba na kuhamisha Kila kitu kutoka Tanganyika ..nchi yetu Iko mikononi mwa wakoloni Zanzibar. Tulitawaliwa na weupe sahivi Tanganyika ni koloni la Zanzibar
Anahangaika sana na kupendwa lakini haitokuja kuwa tena ...hata awaasili maelfu, kama hawezi kujinyenyekesha kwa raia waliopoteza watoto na ndugu zao 29 ni kazi Bure.
Watanzania hawamtaki, period.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.