Recent content by bwakya

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ndejebi akiwa anaongea, unamuoma Msel/Muhimu ndio anaongea , et anakaza sura, anarembua sauti, 'Ndugu Wananchi '

    Ile katuni ya kipanya jamaa anawaza boli tu mda wote wakati Yuko na bosi wake hukuielewa kwani mkuu, shoti kama kawa na wote tumepigishwa maana si mkubwa si mdogo
  2. B

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    🤣🤣🏃
  3. B

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Hujitambui wewe kisa unatoka kwenu bombani unakuja bara basi unapata la kusema. Tambua huko mna uislamu na mnafata mambo yenu hayo ya kuwa Fanya wanawake kama Midori ya madirishani kwenye nyumba zenu mnawachunga kama ng'ombe wa kiamasai. Huku Bara hizo hatuna, unapigishwa kazi kama kawa na...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Je, Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Mkuu kwani na wewe ulipewa pole?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Fika pale airport ya Msoga utapewa code mkuu
  6. B

    JamiiForums Tanzania Siku hizi husikii madawa ya kulevya/Dhahabu kukamatwa Airport

    Labda waanze kujikamata wenyewe kwa wenyewe ila sidhani, hawawezi maana ndo hao hao wanaotakiwa wakamatwe na sahivi wanachokifanya wanasomana kwenye mifumo ..ie wanapishana airport
  7. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Mbuyiseni Ndlozi: Who Gave You Power Mama Samia?

    Anatawala kwa harufu ya damu
  8. B

    JamiiForums Tanzania Vipi ikitokea idadi ya waandamanaji ikawa kubwa mara 10 zaidi ya Oktoba 29 tena wakiwa na utayari wa kifo, Serikali inasubiri raia waifikshe huko?

    A Grain of Wheat. A seed has to be buried deep into the soil first so it can bear fruits. By Ngungi wa Thiong'o.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Vijana waanza kuulizia Ratiba na Njia za maandamano ya Amani ya 7/7

    Msijaribu kutoa ratiba hasa ya njia hadharani watu wako kazini kusoma codes hapa ...ni tahadhari tu. 29/10 ni darasa tosha katika namna nyingi sana
  10. B

    JamiiForums Tanzania Vijana waanza kuulizia Ratiba na Njia za maandamano ya Amani ya 7/7

    Kaburu mweusi ..mkoloni mwenye sura ya kiafrika.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Nielimishwe: Je, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika baadhi ya mikoa ya Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?

    Hili ndo tatizo la kulazimisha undugu wa kufoji, ona Sasa eti tuliungana. Tuliungana Nini Sasa ama mikia tu?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kaimu Waziri wa Afya-Saada: Hatuwezi Kuwatibu wasio Wazanzibari

    Tulisema sana na hatukusikilizwa kwamba huu muungano si muungano, ni usanii tu Wala hamkuelewa. Ona Sasa watanganyika mnavyozodolewa na kuidhalilisha nchi yenu Tanganyika. Yaani hadi huruma sana🤔🤔
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kaimu Waziri wa Afya-Saada: Hatuwezi Kuwatibu wasio Wazanzibari

    Je mfano tukasema hakutibiwa bara Bali alitibiwa na JMT ..vipi hapo pamekaaje na kipi ni kipi hapa?
  14. B

    JamiiForums Tanzania CDF Jenerali Jacob Mkunda: Nchi Haijengwi Na Wahuni na Mateja

    Shibe inalevya zaidi ya pombe
  15. B

    JamiiForums Tanzania CDF Jenerali Jacob Mkunda: Nchi Haijengwi Na Wahuni na Mateja

    Shibe inalevya zaidi ya pombe
Back
Top Bottom