Recent content by bwakya

  1. B

    JamiiForums Tanzania Muswada wa bunge la Marekani dhidi ya Tanzania: Vita imetangazwa rasmi

    Yote nimekubaliana nayo ila pale kwenye suruhisho umeingiza fairness ambayo pia bado inaliacha taifa kwenye hatari. Kuacha kuwataka wahusika kuwajibika. Uwajibikaji ni muhimu na itakuwa ni rahisi sana kulileta taifa katika umoja, amani na utulivu wake kwasababu jamii nzima ya watanzania...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    👏👏👏
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ni uhakika kwamba waliotekwa karibu wote tayari wamekufa

    Jamani, njoooni basi bathi tulisiane watanganyika mbona wakaidi hivyo🤣🤣🤣
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana Chuki na Rais Samia na Anataka Kumchafua yeye na serikali yake na ndio maana anaongea Vitu bila kuweka Ushahidi wa Aina yoyote ile

    Nilitaka nikomenti kitu hapa lakini vichapo ulivyovipata vinatosha sana. Ni dhambi kubwa sana kumlamba binadamu mwenzio miguu na utakuja kufa kwa laana wewe
  5. B

    JamiiForums Tanzania False Alarm: EU Parliament Resolution Against Tanzania is Hoax

    Eti ze govement🤣🤣🤣 ipi hiyo? Kweli kazi mnayo. Serikali ya EU ama ya Sameer?😭😭😭😭
  6. B

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Haogopi tena kubwa Wala ndogo🤣🤣🤣🤣🤯
  7. B

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Na siku ya kifo chake tutasherehekea na kumtukuza sana Mungu na Historia yake itabaki kwamba aliwahi kuwepo dikteta Mwana mke Tanzania
  8. B

    JamiiForums Tanzania Waliomsaliti Humphrey Polepole waanza kuonja joto ya jiwe

    Pindi habari inapokuwa taarifa na taarifa ikawa habari hapo ndipo balaa linakoanzia🤯
  9. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hongera Mzee Warioba kwa kukataa kuhudhuria porojo za Othman Chande

    Ndo kwanza kama nyie mmezima sie taa zimewashwa. Ama kupindua ama kupindua itajulikana baadae ila lazima mjue kwamba hii nchi si shamba la kufugia ng'ombe wenu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wasira: Ripoti ya Tume ni ya Rais kama Taasisi, kuna mambo yatakuwa 'sealed' sio kila kitu kiko kwa ajili ya 'Public consumption'

    Atumie pesa ya raia wa nchi hii kuandaa ripoti yake mwenyewe na kwamba raia haiwahusu? Siku ukifa tutakunywa sana bia na kutembea tukiimba kwa furaha sana we sura mbaya
  11. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hongera Mzee Warioba kwa kukataa kuhudhuria porojo za Othman Chande

    Na ndo dawa kwamba unakuwa na kiburi na dharau kwa wananchi kwanini wasikupinde? Na ana bahati lakini asijidanganye ..siku zaja maana tumejifunza mengi sana siku ijayo itakuwa ya kushtukizana
  12. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hongera Mzee Warioba kwa kukataa kuhudhuria porojo za Othman Chande

    Na ndo dawa kwamba unakuwa na kiburi na dharau kwa wananchi kwanini wasikupinde? Na ana bahati lakini asijidanganye ..siku zaja maana tumejifunza mengi sana siku ijayo itakuwa ya kushtukizana
  13. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Na una bahati walikuwa wanakupasua
  14. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Zack Abdul kwa avatar Yako na kujiunga kwako machi hapa Jf kunasema mengi sana na kujibu mengi sana. We all know, una mission na mmoja wa Wana mission so keep it up. But mind you, there ever had the so called Roman great empire, there lived great men of whom once uttering you couldn't dare raise...
Back
Top Bottom