Ile katuni ya kipanya jamaa anawaza boli tu mda wote wakati Yuko na bosi wake hukuielewa kwani mkuu, shoti kama kawa na wote tumepigishwa maana si mkubwa si mdogo
Hujitambui wewe kisa unatoka kwenu bombani unakuja bara basi unapata la kusema. Tambua huko mna uislamu na mnafata mambo yenu hayo ya kuwa Fanya wanawake kama Midori ya madirishani kwenye nyumba zenu mnawachunga kama ng'ombe wa kiamasai. Huku Bara hizo hatuna, unapigishwa kazi kama kawa na...
Labda waanze kujikamata wenyewe kwa wenyewe ila sidhani, hawawezi maana ndo hao hao wanaotakiwa wakamatwe na sahivi wanachokifanya wanasomana kwenye mifumo ..ie wanapishana airport
Tulisema sana na hatukusikilizwa kwamba huu muungano si muungano, ni usanii tu Wala hamkuelewa. Ona Sasa watanganyika mnavyozodolewa na kuidhalilisha nchi yenu Tanganyika. Yaani hadi huruma sana🤔🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.