Recent content by bussnes

  1. B

    Mchepuko kumbe unaimarisha ndoa

    Wakati tunaanza mahusiano alikuwa mpole asiyejua mambo mengi kila mara tukiwa faragha sipati madini ikanibidi nitafute mgodi mwingine niwe nachimba madini cha kushangaza baada ya kumwacha kama miezi sita kurudi nilikuta anamaufundi ya hatari mpaka nikipiga shoo naenjoy.
  2. B

    Hivi kuna tabia ya kabila fulani?

    kila wakati utakuta watu wanajadili kwamba usiolewe/kuoa kabila fulani je kwa kufanya hivyo tunakuwa sahihi au tunakosea maana utakuta watu tumezaliwa 8 tumbo moja ila tabia tofauti iweje kabila lote lifanane tabia always avoid generalisation
Back
Top Bottom