Wakuu nimewaza nikafikiria hivi CCM wangekua na timu ya soka ingekuwaje ndani dk 90 uwanjani?
Baada ya izo dk 90 kuisha uwanjani CCM kala 4-0 matokeo yanaweza achwa ivyoivyo au yatageuzwa?
Kipaumbele ni kudhibiti mapato kwa N-card na kukata kodi kwenye viingilio,hayo mambo ya usafi wa uwanja na miundombinu mingine mtajijua.
Hapo ndo tulipofikia hili li nchi la miaka 60 ya uhuru.
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania.
Kama mnavyojua Kariakoo derby inahekaheka mpaka mikoani huko,mechi inachezwa Dar lakini miji mingine ya Tanzania kunakuwa na patashika nguo kuchanika kiasi kwamba utadhani mechi inachezwa kwenye huo mkoa.
Wapenzi na mashabiki wenzangu hasa wa mpira...
Mkuu John Boco kiwango kimeshuka lakini alisajiliwa Simba akiwa na kiwango chake bora,lakini kwa Kibu ni tofauti kasajiliwa kucheza Simba akiwa na kiwango kibovu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mchezaji wa Simba Kibu Denis hana kiwango cha kucheza Simba ni mzigo,
hana footwork nzuri.
Hana unyambulifu wa mwili (body flexbility)
Pasi zake za kutoa na kupokea zinapotea kwa wepesi sana.
Mpango wa GSM kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1) Mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.
2) Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa...
Kuhusu nembo ya NBC nadhani tff wali experience kwenye nembo ya gsm kuwa njano na kijani badala ya nyekundu na nyeupe.mwenye nembo akikubali rangi ibadilishwe akuna shida kikubwa ni nembo imevaliwa.
Kwasababu tajwa hapo juu na Simba nao wanadeka.
Jambo kama hili la mgogoro wa tff na Simba likitokea kwa Yanga uwa kuna press mfululizo za body ya ligi au tff kutoa vitisho na mikwara kwa Yanga.
Lakini kwa Simba tff na body ya ligi huwa wanaonyesha unyonge fulani hivi tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.