Recent content by BUSAWE

  1. B

    Freeman Mbowe: Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo

    Hata CDM pia hakuna kuhoji.Sasa ni mabadiliko gani wanayotuambia.Kumbe nao wezi tu,hakuna uwazi.
  2. B

    Freeman Mbowe: Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo

    Watu wanataka upinzani uonyeshe mfano wa uwazi wa matumizi ya fedha ili waaminiwe,halafu una kuja na hoja ya kujilinganisha na CCM ambao unawatuhumu.Kwa maana hiyo hata CDM ni wale wale wezi.
  3. B

    Freeman Mbowe: Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo

    Unakomaa na kununuliwa,mbona hoja ya ruzuku hutaki kuigusia.Hata Zito alitimuliwa kwa sababu ya kuhoji ruzuku
  4. B

    Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara(CHADEMA) ajiuzulu na kuhamia CCM

    Mkuu umenena vyema,kuna kitu CDM wanapaswa kukiweka sawa kuhusiana na ruzuku
  5. B

    Wana CCM tumshauri Kigwangala afanye kazi ya uwaziri. Anachokifanya sasa ni utalii mtupu

    Ndo maana nampongeza Rais Magufuli style anayotumia kuongoza nchi.Ukiwasikiliza waswahili hakuna kitu utafanya.Muda ukiisha wanakulalamikia hukufanya lolote.
  6. B

    Serikali ya awamu ya tano yatenga Tshs Bilioni 495 kununua ndege mbili mpya za kisasa

    Kama wewe haupandi tulia,wengine tunapanda
  7. B

    Ukuta utazuia raia kujenga holela kwenye eneo la machimbo ila si kuzuia wezi wa madini maana hawatokei porini

    Wewe ulitaka takwimu ya namna gani.Tulieni Rais afanye kazi,mlizoea ujanja ujanja.Fuata sheria ili upate kipato halali,vinginevyo utazeeka vibaya.Magufuli kaza buti.
  8. B

    Manyara: Rais Magufuli azindua Ukuta wa Mirerani uliojengwa na JKT, ampa milioni 100 mgunduzi wa Tanzanite

    Mkuu kauli kama hii sio nzuri sana kwa watu fulani wanaojiita wazalendo
  9. B

    Rais Magufuli kuzindua nyumba za makazi ya Polisi Arusha 07/04/2018

    Wakati Gharib Bilal akifanya hizo kazi za kuzindua,JK alikuwa anabezwa kuwa kiruka njia hayuko nchini,na sasa ni safari ya 380
  10. B

    Ujenzi wa ukuta na ulinzi Mirerani, Tanzanite italindwa?

    Mkuu umenena vema,JK aliacha Demokrasia ichukue mkondo wake lakini walimtukana na kumdhalilisha.
Back
Top Bottom