Watu wanataka upinzani uonyeshe mfano wa uwazi wa matumizi ya fedha ili waaminiwe,halafu una kuja na hoja ya kujilinganisha na CCM ambao unawatuhumu.Kwa maana hiyo hata CDM ni wale wale wezi.
Wewe ulitaka takwimu ya namna gani.Tulieni Rais afanye kazi,mlizoea ujanja ujanja.Fuata sheria ili upate kipato halali,vinginevyo utazeeka vibaya.Magufuli kaza buti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.