Recent content by Busara

  1. B

    Rais Kikwete anamhujumu waziri Magufuli?

    Huu ni uchochezi wa kitoto. Raisi alilazimishwa na nani kumteua Magufuli kuwa waziri na kama asingemteua ingekuwaje. Msijaribu kuchonganisha watu bila sababu.
  2. B

    What does this picture say about Us the People?

    Tukikerwa tunachangia kurekebisha sio kulumbana. Tukionyesha mfano wengine wanafuata.
  3. B

    JK Ampeleka Augustino Mrema kutibiwa India?

    Watu wengi wanakwenda India kutibiwa na hili la Mrema si la kwanza. Je amelipiwa na JK, inawezekana iwe hivyo na pia inawezekana kabisa iwe ni ubunifu tu wa wanaodai hivyo. Kama kweli JK ametowa pesa zake kumlipia ingenishangaza sio kwa kuwa hiyo si fadhila njema bali kwa kuwa serikali inayo...
  4. B

    Kanali Ghadaffi na Tanzania

    Inavyoonekana kwa muanzishaji mada hii na wachangiaji wengine tatizo si msada aliotowa Muamar Gaddafi bali tatizo ni imani yake ya kidini. Kama kuna wenye udini basi ni hawa jamaa sio yeye kwani yeye hajasema kuwa msada huo uwanufaishe waislamu na sio wanaoamini itikadi nyingine za kidini. Yeye...
  5. B

    Dr.Slaa ajibu hoja mbalimbali na kueleza Sera za CHADEMA hapa JF

    Dr. Slaa, Ni nini maana halisi ya "demokrasia" ndani ya Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) pale ambapo tumekiona chama hicho pamoja na shinikizo lako wewe mwenyewe kumkatalia mwanachama mahiri asithubutu kugombea uenyekiti wa Taifa wa chama kinyume cha nia na matakwa yake? Kama hatua hii ambayo...
  6. B

    European Union na Ufisadi Tanzania

    Chanzo cha ufisadi nchi zinazoendelea ni "Development Incorporated" ikijumuisha taasisi zote za nchi zilizoendelea unazofikiria zinatowa misaada ili nchi zinazoendelea ziendelee! Hata hayo ya Kenya ni danganya toto. Miaka yote hiyo leo ndio waonekane ni wakali. Hebu tafuta kajitabu kanachoitwa...
Back
Top Bottom