Thanks...
MREJESHO fundi alibadilisha vacuum sensor gari ikapona. Nguvu imerejea na sasa inakula mafuta vizuri. Imebaki code ya vvti valve najipanga nibadilishe vvti maana kuna mlio unasikika kama rattling au knoking sound fundi akasema ni vvti na ndio faults code iliyobakia.
Faults code ya...
Thanks...
MREJESHO fundi alibadilisha vacuum sensor gari ikapona. Nguvu imerejea na sasa inakula mafuta vizuri. Imebaki code ya vvti valve najipanga nibadilishe vvti maana kuna mlio unasikika kama rattling au knoking sound fundi akasema ni vvti na ndio faults code iliyobakia.
Faults code ya...
Thanks...
MREJESHO fundi alibadilisha vacuum sensor gari ikapona. Nguvu imerejea na sasa inakula mafuta vizuri. Imebaki code ya vvti valve najipanga nibadilishe vvti maana kuna mlio unasikika kama rattling au knoking sound fundi akasema ni vvti na ndio faults code iliyobakia.
Faults code ya...
Kama upo moshi kuna fundi nikuunganishe naye. Na mimi nina noah voxy ilikuwa na shida kibao jamaa aliipambania akafanikiwa. Yupo kiboriloni kwa Alphonce. Ukihitaji nicheck dm nikupe namba yake
Mkuu nina noah voxy engine 1az fse. Inakula mafuta sana na haina nguvu. Kwa kuwa mi ni mgeni wa magari mafundi wamekuwa wakipiga ramli na kuninunulisha vitu vingi vya gharama na shida imeendelea kuwepo.
Fundi wa kwanza aliniambia ni cylinderhead tukafungua engine nzima ikafanyiwa overhaul...
Msaada wakuu
nina noah voxy engine 1az fse. Inakula mafuta sana na haina nguvu. Kwa kuwa mi ni mgeni wa magari mafundi wamekuwa wakipiga ramli na kuninunulisha vitu vingi vya gharama na shida imeendelea kuwepo.
Fundi wa kwanza aliniambia ni cylinderhead tukafungua engine nzima ikafanyiwa...
Na kabla ya oberhaul gari ilikuwa na shida hiyo hiyo. Kunywa mafuta sana na kukosa nguvu. Fundi akashauri overhaul. Na baada ya overhaul shida ikaendelea. Nikabadilisha hiyo kwenye picha hapo juu. Fuel pressure pump, Oxygen sensor, MAF sensor, nozzle na bado shida imeendelea. Break pia...
Hiyo fuel pressure regulator kwenye 1az fse ndio ikoje?? Maana nikimtajia fundi anaweza asijue
Nachokumbuka Nilibadilisha hii kwenye picha, sasa sijui ndio fuel pressure regulator???
Mkuu nina noah voxy engine 1az fse. Inakula mafuta sana na haina nguvu. Kwa kuwa mi ni mgeni wa magari mafundi wamekuwa wakipiga ramli na kuninunulisha vitu vingi vya gharama na shida imeendelea kuwepo.
Fundi wa kwanza aliniambia ni cylinderhead tukafungua engine nzima ikafanyiwa overhaul...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.