Recent content by Bunghe Lyimo

  1. B

    Mzee wangu yupo hoi, huenda Serikali ingeweka wazi, Mzee wangu asingeshiriki kuzika rafiki yao aliyefariki kwa changamoto

    Sio mpango wa Mungu mtu anapokufa. 𝑬𝒛𝒆𝒌𝒊𝒆𝒍𝒊 18:32 - 𝑴𝒂𝒂𝒏𝒂 𝒎𝒊𝒎𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖𝒇𝒖𝒓𝒂𝒉𝒊𝒊 𝒌𝒖𝒇𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒂𝒇𝒂𝒚𝒆, 𝒂𝒔𝒆𝒎𝒂 𝑩𝒘𝒂𝒏𝒂 𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼; 𝒃𝒂𝒔𝒊 𝒈𝒉𝒂𝒊𝒓𝒊𝒏𝒊, 𝒎𝒌𝒂𝒊𝒔𝒉𝒊. Usiwe mpumbavu unaweza kufa kwa ujinga. 𝑴𝒉𝒖𝒃𝒊𝒓𝒊 7:17𝒃 .....𝑾𝒂𝒍𝒂 𝒖𝒔𝒊𝒘𝒆 𝑴𝑷𝑼𝑴𝑩𝑨𝑽𝑼; 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊 𝒖𝒇𝒆 𝒌𝒂𝒃𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒕𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒐?
  2. B

    Kama Kifo ni mpango wa Mungu basi Mungu wenu atakuwa katili sana, mnawezaje kuwa nae?

    Kweli kabisa, Mungu wa kweli si muuaji, tena hafurahii kufa kwa mtu. Anaona kifo kama adui kwa wanadamu alowaumba. 𝑬𝒛𝒆𝒌𝒊𝒆𝒍𝒊 18:32 - 𝑴𝒂𝒂𝒏𝒂 𝒎𝒊𝒎𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖𝒇𝒖𝒓𝒂𝒉𝒊𝒊 𝒌𝒖𝒇𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒂𝒇𝒂𝒚𝒆, 𝒂𝒔𝒆𝒎𝒂 𝑩𝒘𝒂𝒏𝒂 𝑴𝑼𝑵𝑮𝑼; 𝒃𝒂𝒔𝒊 𝒈𝒉𝒂𝒊𝒓𝒊𝒏𝒊, 𝒎𝒌𝒂𝒊𝒔𝒉𝒊. Hata hivyo Mungu atafutilia mbali kifo(mauti) karibuni. 1 𝐶𝑜𝑟𝑖𝑛𝑡ℎ𝑖𝑎𝑛𝑠 15:26...
  3. B

    Je, mbinguni kutakua na wanyama kama Simba, Chui, Swala au Mamba, na je wataishi pamoja bila kulana?

    MBINGUNI NI KWA AJILI YA AKINA NANI? Tumezoea kusikia kuwa watu wazuri mara wanapokufa muda huo huo wanaenda mbinguni. Utasikia watu wakihimizana kutenda mema ili mwisho wa siku waende mbinguni. Hii ni habari inayoonekana kama ni ya kufurahisha ila sivyo neno la Mungu linavyofundisha. Acha...
Back
Top Bottom