Recent content by Bunge la Wananchi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Nchimbi hakushiriki mapokezi ya Rais Samia akitokea Ethiopia?

    Ni jambo la kawaida Rais anapotoka nje ya nchi wakati wa kuondoka anasindikizwa na Makamu wa Rais na anaporejea anapokelewa na Makamu wa Rais mbona kwa Nchimbi inakuwa tofauti shida ni nini? au mimi sijaangalia vizuri ya Rais akiwasili nchini kutoka Ethiopia?
  2. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muda wa Samia kukaa Ikulu ulikwisha siku aliposema, ‘Kama hamkutaka Serikali tuwaue kwanini mliwaruhusu waingie barabarani?'

    HILI BANDIKO LINAMAPENDEKEZO MAKUBWA NA MUHIMU LAKINI BAHATI MBAYA WATANZANIA WENGI WAKO BIZE NA SIMBA NA YANGA BADALA YA KUJADILI NA KUTAFAKARI BANDIKO HILI AMBALO KULIANDAA LIMETUMIA AKILI NA GHARAMA KUBWA
  3. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muda wa Samia kukaa Ikulu ulikwisha siku aliposema, ‘Kama hamkutaka Serikali tuwaue kwanini mliwaruhusu waingie barabarani?'

    Nimesoma hili andiko nimeshangaa sana kuona watanzania hawajadili haya yaliyoandikwa humu wanajadili sinema za Wakatoliki feki
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba hahusiki kuratibu maandamano ya wakatoliki

    Nani aliyesema Mwigulu anahusika kuandaa maandamano ya Wakatoliki? kwani Mwigulu yeye sio Mkatoliki?
  5. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Balozi Nchimbi vunja ukimya, Taifa linaelekea pabaya

    Nchimbi ni muhimu akatoa tamko haya maandamano wahusika walishasema hayana kikomo na watazunguka nchi nzima kuvuruga amani
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ni nani anayemtumia Habib Mchange kulivuruga Kanisa?

    Mchange ni nani? nasikia jina lake linatajwa sana kwenye madaladada na vijiwe vya kahawa
  7. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Habibu Mchange: Lissu na Heche ndiyo walioratibu maandamano ya Oktoba 29

    Maandamano ya Wakatoliki nani aliratibu?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Simbachawene na Gwajima watajwa mbio za Urais 2025

    muda umeanza kuongea
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Bashe adaiwa kusababisha vikao vya CCM kuahirishwa kisa alipanga wagombea ubunge anaotaka yeye

    Fedha za sukari ni zaidi ya Bilioni 500 alizopiga ndio maana kila mgombea wake inasemekana amempa Bilioni 1 kuhakikisha anashinda ndani ya kamati ya siasa ya wilaya na mkoa na kushinda kura za maoni...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Bashe adaiwa kusababisha vikao vya CCM kuahirishwa kisa alipanga wagombea ubunge anaotaka yeye

    Braza achana na mambo ya Kigogo watu wako field nenda mwenyewe Jimbo la Manonga, Igunga kaulize mgombea wa Bashe watakwambia ni nani, nenda Jimbo la Kisesa kwa Mpina watakwambia mgombea wa Bashe ni nani anayetaka awe Mbunge, nenda Jimbo la Ushetu kaulize mgombea wake ni nani watakwambia...achana...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Bashe adaiwa kusababisha vikao vya CCM kuahirishwa kisa alipanga wagombea ubunge anaotaka yeye

    https://youtu.be/TT9NgEUVLTs?si=uiI70QKisRcMCTYM
  12. B

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea CCM yamenikumbusha kisa cha Rais Ben Ali wa Tunisia mwezi January, 2011

    https://youtu.be/TT9NgEUVLTs?si=uiI70QKisRcMCTYM
  13. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Bashe adaiwa kusababisha vikao vya CCM kuahirishwa kisa alipanga wagombea ubunge anaotaka yeye

    Braza kama mambo hujajui unapotezea nenda Jimbo la Manonga kaulize mgombea wa Bashe watakwambia nenda Jimbo la Kisesa kwa Mpina watakwambia mgombea wake ni nani, nenda Jimbo la Ushetu kaulize mgombea wake ni nani watakwambia
Back
Top Bottom