Recent content by buller

  1. B

    Nauza kuku wa kienyeji majogoo tshs 17,000/-

    nina majogoo yapatayo 30 nipo maeneo ya mbezi jogoo kwa mawasiliano 0716 876 947
  2. B

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    mkuu asante kwa maelezo mazuri juu ya kilimo cha vitunguu na tikiti. tafadhali naomba kujua zaidi je naweza kupata shamba wapi la kukodi kwa kilimo cha vitunguu na mm naishi dar? na je usimamizi wa shamba unakuaje na kwa mimi mfanyakazi.
  3. B

    Nanenane Morogoro kunani

    nimelima heka 2 so nahitaji kuuzia shambani bt sijui pa kuanzia.
  4. B

    Nanenane Morogoro kunani

    HELLO! NAOMBA KUJUA SOKO LA MIHOGO LINAPATIKANAJE HASA KWA WALE WALIOLIMA MAENEO YA BAGAMOYO.
Back
Top Bottom