Recent content by bujaganoni

  1. B

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hapa ndg yangu kapime gono tu maana demu wako anasema hamkutumia kinga 🤪🤪
  2. B

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Aaaah Kmmk ndio yeye bhana
  3. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Mwamba anafeli sana 🤣🤣
  4. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Mkuu nakushukru sana, acha nipambane tuone then nitazama DM mambo yakigoma, Ni Mamlaka yetu hii ya kukusanya kodi, nadhani umenielewa!
  5. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Wew jamaa, mbona unanilisha maneno ? 🤣🤣🤣
  6. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Tabia ya mtu pia huchangia haya, wanawake wanaweza vumilia kuliko sisi mpwa, anaweza akakaa mwaka mzima bila kufanya niaje, ila sisi ndio tatizo. Kila hatua Dua
  7. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Ni mbovhi haswa, 27yrs old tu hapo!
  8. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Ahsante sana Mkuu
  9. B

    Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

    Dah, kwa hiyo asiende kisa atapigwa!? Hata akiwa hapa akiamua kukung’utwa anakula kipondo tu hata hutajua kama kagawa 🤣
Back
Top Bottom