Nimesoma maoni yako lakini binafsi nina maoni tofauti.
Uwekezaji wa pamoja kama UTT AMIS inaweza kuwa sehemu sahihi na salama kwa mtu anayeanza Uwekezaji.
Kabla sijaendelea niweke sawa jambo moja. Kunatofauti kati ya uwekezaji na biashara.
1. Uwekezaji
Uwekezaji ni kuweka pesa kwenye kitu...
Gavana wa Bank Kuu Tanzania Emmanuel Tutuba
Katika miaka ya hivi karibuni, matumizi ya fedha za kidijitali maarufu kama cryptocurrency yameongezeka duniani kote. Watu wengi wamevutiwa na ahadi ya kupata faida kubwa kupitia uwekezaji wa sarafu kama Bitcoin na nyinginezo. Hata hivyo, nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.