Mpaka sasa uhamiaji bad hawajaita watu kwenye usahili so yule alosema leo tateh 1 wanatoa majina ya watakao fanya usahili ni kutulisha matango pori alafuvyaan uhamiaji had mwisho wa mwezi ndo wanatoa majin
Form four tayr kiaje na wanachukua weng wap umeskia nafas zile waga ni chache waga hazizid zaid ya mia5 kuna form four bado six bado wenye degree wote wameomba sema huu mwaka hawajataja idadi ya wanaoitajika lakin tarajien mwisho wa mwez pili msikalili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.