Nimejaribu kusoma ripoti ya CAG 21/22 kwenye upande wa mashirika ya umma kwa sehemu tu, Watanzania wenzangu hali ni mbaya sana, pesa nyingi sana zinapotea.
Nimeshangaa kuona baadhi ya mashirika na taasisi yanaendeshwa/yanajiendesha kwa mtaji hasi, ni kitu ambacho kwa kweli ni hatari sana...
Hayo ni mawazo yake anayo haki kuyasema na anao uhuru kuyatoa . Hatuwezi kuwa sawa wote kifikra au kimtizamo , tutatofautiana TU. Lakini suala jingine hatuwezi kupinga kila kitu TU Cha muhimu ni utafiti wa kutosha kufanyika kwa hiko alichokisem kama ni kweli au la.
Lakini pia tumjibu kwa hoja ...
Lengo lako limeeleweka , lakini Mimi nafikiri huu si muda wa kuanza kutafuta sababu za kulaumu na kuanza kumsema Rais aliyepita. Amefanya kwa sehemu yake alipoweza. We don't need ourselves everyday to find faults But if we will find the remedy tutafika mbali sana.
Kwanini tusiwe na tabia ya kufanya tafiti pamoja na chunguzi Ili baadaye utakaposema jambo kwa umma uwe na taarifa kamili. Binafsi Mimi naona huo ni mtizamo wako kutokana na kumsikiliza Mhe. Peter Msigwa ila nafikiri Ili kuondoa (confusions) tuwe na data kamili kutokana na tafiti pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.