hakuna nid ya relationship kuwa na muda mrefu kihivyo coz cyo detrmination ya kuwa na ndoa ya furaha bt u kno wat kichekesho mnaweza kudumu kwa 1yr mkawa n ndoa nzur as long as @ mtu aliish maish yake halisi(hakuigiza)ktk kipind cha uchumba
u know what distance love inakuwa ngumu zaidi pale ambapo hamjitambui kwamba mnaingia katika relation lakin Mtu hayuko ready bt mkiwa committed nothing is impossible dats what i believe eeh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.