Recent content by Brother Hassan

  1. Brother Hassan

    JamiiForums Tanzania Namna matajiri (Billionaires) wanavyotafakari vitu ambavyo vitaleta mabadiliko duniani na vitawaingiza hela kila siku na kila kona ya Dunia

    Mabilionea wengi hutofautiana na watu wa kawaida kwa namna wanavyotazama fursa, kutathmini changamoto, na kupanga mikakati. Badala ya kufikiria tu jinsi ya kupata pesa kwa sasa, wao hufikiria kwa undani jinsi ya kutengeneza suluhisho kwa matatizo ya muda mrefu na jinsi suluhisho hilo linaweza...
  2. Brother Hassan

    JamiiForums Tanzania Sababu 6 zinazopelekea kuwa na fikra (Mtwazom)mgando

    Ni ukweli kabisa nayo inavhangia kupata matokeo ya aina hii ya vijana Gidabed
  3. Brother Hassan

    JamiiForums Tanzania Sababu 6 zinazopelekea kuwa na fikra (Mtwazom)mgando

    Ahsante kimwakaleli tuko pamoja
  4. Brother Hassan

    JamiiForums Tanzania Sababu 6 zinazopelekea kuwa na fikra (Mtwazom)mgando

    Kama kuna mambo yana ludiaha nyuma maendeleo ya vijana wengi kwa sasa ni pamoja na umasikini wa kuwa na fikra tanduzi. Na hapa kuna sababu sita zinazo sababisha vijana kujikuta katika hili janga la kuwa na fikra mgando katika jami unaweza kuyaepuka kwa kuzijua sababubu zake. Mjadala huru
Back
Top Bottom