Hello,
Naomba kujua taratibu za kufuata ili kupata certificate of proof of charitable organization kwa taasisi za kidini zisizofanya biashara.
Natanguliza shukurani
Ok.
Je, Kabla ya Magu sheria iliruhusu msamaha kama huo? Ninafikiri kama dirisha hilo lilikuwepo pengine bado inawezekana japo itahitaji ufuatiliaji wa karibu
Ninatanguliza heshima na shukurani.
Kwa mtu aliyeolewa Tanzania kwa zaidi ya miaka 10 na kuwa na watoto na mumewe, ikiwa hajafanya taratibu za uraia anaweza kupata cheti cha msamaha wa kibali cha kazi?
Iwapo anaweza kupata msamaha ninaomba kujua ni taratibu zipi za kufuata.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.