Recent content by brillo54

  1. B

    Naombeni kazi/ajira. Nina uzoefu wa matumizi ya kompyuta na matengenezo madogo

    Habari wanaJF Mimi ni kijana umri miaka 21, elimu kidato cha sita na nimefanikiwa kusoma chuo kikuu mpaka mwaka wa pili na nimeacha mwaka huu kutokana na changamoto za maisha. Nimekuja kwenu wanajukwaa kupata usaidizi wa kazi ama ajira yoyote. Mimi ni kijana muaminifu, mtiifu na mwenye bidii...
Back
Top Bottom