Recent content by BRIGHTON MBAJO

  1. BRIGHTON MBAJO

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    hapo ni tatu sababu zangu ni zile za msingi kama za UKAWA
  2. BRIGHTON MBAJO

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    kwa nini waziri mkuu kagoma kutoka nae aende zake hatumtaki kwa nini asiwe na busara hata kidogo
  3. BRIGHTON MBAJO

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Nchimbi kapumzike tunakushukuru kwa vizuri ulivyofanya
  4. BRIGHTON MBAJO

    Akili Ndogo Kushindana na Akili Kubwa: Ona CV ya Mbunge Lema na CV ya Zitto!!

    kiukweli elimu sio ufanisi mzuri wa kazi ila elimu inaweza ikakufanya ukawa mfanisi mzuri wa kazi. So CV nzuri ni kitu muhimu kwa maana ya hehima na ajira za Tanzania but hekima na akili ya uongozi ndo tunachokihitaj kwenye siasa.
  5. BRIGHTON MBAJO

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    jaman mtu anaovyoomba ushaur jaribuni kumshauri sio kumkashifu na kama hujui bora ukae kimya sio kumjibu kwa kumkashifu mpo hapo ila kaka kwa ushaur wangu jaribu kujikeep bize muda mwing ili mwili uwe unachoka so utaanza kuacha taratibu
  6. BRIGHTON MBAJO

    Nipe majina kamili ya Mawaziri 5 bora na 5 wabovu ndani ya serikali ya chama cha mapinduzi

    hapo kweli mzuri kabisa hayupo ila wanaojaribu ndo wapo akiwemo magufuli na mwakyembe ila wengine bora 2weke watt wa primary wataweza kutoa maamuz ya msingi kdg
Back
Top Bottom