Recent content by Botolani

  1. Botolani

    INAUZWA Epson L3110 for sale

    Big Offer! Printer Mpyaa! •Epson L3110 kwaajili ya biashara na ofisini •Ina uwezo wa Kuprint📍 Kutoa copy 📍 Kuscan 📍 Picha na karatasi ukubwa wa A4 √ •Unapata CD/User guide√ •Cable √ •Chupa zenye wino full (mpya)√ + Free delivery √. Call Now! 0754 683 963 Tsh. 500,000/= tu!
  2. Botolani

    SoC02 Mkaa: Zimwi litujualo

    Habari wadau, wapendamaendeleo na wanafamilia wa JF. Tafadhali pigia kura andiko hili ili liweze kushinda na kuwafikia watu wengi ikiwemo watungasera na kusaidia katika kuleta mabadilko chanya. Kura yako ni muhimu sana mdau, Asante!
  3. Botolani

    SoC02 Changamoto za mitaala, shule na elimu

    Asante sana. Tushikamane kuipambania elimu ya Taifa letu! Na nakuomba pia upigie kura andiko hili, kushinda kwake ndio kushinda kwetu wanaharakati na wapendamaendeleo ya elimu yetu.
  4. Botolani

    SoC02 Changamoto za mitaala, shule na elimu

    Ni kweli kabisa. Kelele nyingi zipigwe kuhusu hili, na yatolewe mapendekezo bora zaidi na zaidi.
  5. Botolani

    SoC02 Mkaa: Zimwi litujualo

    Miongoni mwa mada muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu ni Nishati ya kupikia. Historia inasomeka kuwa mwanadamu alianza kupata maendeleo makubwa (evulution) baada ya kujua namna ya kudhibiti moto na kuutumia kupikia na kisha kwenye shughuli nyingine. Alipoanza kupika, ndipo mabadiliko makubwa...
  6. Botolani

    SoC02 Changamoto za mitaala, shule na elimu

    Utangulizi Habari za wakati huu mwana JF. Karibu kwenye makala haya ya kimtazamo yanayoangazia changamoto za mitaala ya shule pamoja na elimu kwa ujumla. Katika hali ya kawaida Msingi wa elimu huanzia shuleni ambapo mwanafunzi huanza akiwa hajui kusoma wala kuandika mpaka kufikia hatua ya juu...
Back
Top Bottom