Recent content by botafongo jr

  1. B

    Usaili kada ya Afya 2024: Matokeo ya usaili ya kuandika (written) Tabibu daraja la pili (Clinical officer II) yametoka

    ukiangalia tu matokeo yanayotolewa utagundua kuwa bado idadi ya watu ni kubwa kwa wanaotakiwa kuendelea na oral interview? sasa swali langu ni kuwa hiyo oral itafanyika kwa muundo upi? tuchukulie mfano dar es salaam: clinical officer nafasi 40 lakini oral wanaotakiwa kufanya kwenye kituo hiko...
  2. B

    Usaili kada ya Afya 2024: Matokeo ya usaili ya kuandika (written) Tabibu daraja la pili (Clinical officer II) yametoka

    hivi kwa mfano kwenye kituo chenu mnatakiwa mfanye oral interview mpo 200 au 300, hiyo oral interview kwa idadi hiyo ya watahiniwa itafanyika kwa muundo gani? wazoefu ebu mtujuze huwa inafanyikaje oral interview yenye idadi hiyo kubwa ya watu
  3. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Unauhakika mzee na hii taarifa yako kwamba watu wameshapigiwa simu waende kuripoti? Mana Mimi lonja nilizonazo ni tofauti na hizo
  4. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    hawa wanaomalizia RTS kwani bado hawajajua tarehe yao ya kuapa?
  5. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    hivi hizi kozi za RTS nao wanapataga likizo kama wale wa TMA au wao ni jaramba mwanzo mwisho? Na kozi ya level 3 inachukuaga mda gani?
  6. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    watu wana hadi 40 wanaingia usiwe na wasiwasi mda bado upo
  7. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    sasa habari za uhakika ni zipi mana wengine mnasema mda ushaisha wengine wanasema usaili bado haujaisha so ukweli ni upi?
  8. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    hivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?
  9. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    wanaweza wakaanza lini kureport RTS?
  10. B

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    hizi taarifa ni za kweli mkuu?
  11. B

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Okay sawa Wanafanyia wapi hii kozi msata au?
  12. B

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Watu gani tena hao mkuu?
Back
Top Bottom