ukiangalia tu matokeo yanayotolewa utagundua kuwa bado idadi ya watu ni kubwa kwa wanaotakiwa kuendelea na oral interview? sasa swali langu ni kuwa hiyo oral itafanyika kwa muundo upi?
tuchukulie mfano dar es salaam: clinical officer nafasi 40 lakini oral wanaotakiwa kufanya kwenye kituo hiko...
hivi kwa mfano kwenye kituo chenu mnatakiwa mfanye oral interview mpo 200 au 300, hiyo oral interview kwa idadi hiyo ya watahiniwa itafanyika kwa muundo gani?
wazoefu ebu mtujuze huwa inafanyikaje oral interview yenye idadi hiyo kubwa ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.