Recent content by Bonge Mpya

  1. B

    Blog ni ajira, naingiza milioni 1 kwa mwezi

    Labda niandae uzi mwingine
  2. B

    Blog ni ajira, naingiza milioni 1 kwa mwezi

    Kama unaamua kuifanya blog kuwa sehemu ya kipato ni Bora ununue domain (25,000/= au zaidi). Lakin pia domain ya .blogspot inachukua muda mrefu sana kuikonekt na Adsense na pia haifany vzur sana Google. (Yan Kupata organic traffic) Kuikonekt na Adsense ingia kwenye dashboard yako ya blogger...
  3. B

    Blog ni ajira, naingiza milioni 1 kwa mwezi

    Iyo post inajieleza...Fatilia zaidi kuhusu AdSense hao ndio wanaolipa.
  4. B

    Blog ni ajira, naingiza milioni 1 kwa mwezi

    Mwaka huu 2022 Mwezi wa 5 nilipost Uzi mmoja kuhusu blog (Usome hapa). Kuna baadhi walinicheki niwape msaada nilifanya ivyo ingawa ni wachache tu waliofanya kweli na sasa wanapiga pesa. Hivyo basi, huu ni mwendelezo wa mada Ile ambayo kwa kipindi kile nilikuw napata 400k Hadi 600k kwa Mwezi...
  5. B

    Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

    Kuna mambo kama hujui ni Bora ukae kimya tu.
  6. B

    Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

    Sijatangaza BIASHARA ya kutengezeza blog. Nime-share uzoefu wangu kuhusu blog. Kama ulivyosema, sio KAZI rahisi hivyo Na-share uzoefu wangu Ili kama Kuna mtu anapata shida sehemu iwe rahisi kutatua.
  7. B

    Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

    Umeelewa vibaya...1000 ni Clicks napata kutoka Google.
  8. B

    Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

    Ndo tatzo lenu hilo. Kama vipi wawe wanapost hao Mods peke Yao.
  9. B

    Natumia Blog kupata PESA. Hivi ndivyo ninavyopata VIEWS

    Habari Siku zilizopita nilipost Uzi kuhusu Mtaji wa 25,000 Unavyonipatia laki 4 kila mwezi>> Watu wengi walitaka kujua jinsi ya kupata Watembeleaji wengi kwenye Blog. Binafsi natumia njiaa kuu mbili kupata views kwenye blog yangu. 1. Natumia Magroup ya WhatsApp>. Huwa Na-share Links za posts...
  10. B

    Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

    Huenda wewe ndo ukawa Zwazwa. Kama unafanya Blogging huwezi kukosoa Uzi huu ila kama hujui kuhusu Blogging wewe ni Zwazwa Mkuu
  11. B

    Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

    Kununua domains nyingi tafsiri yake ni kuwa niwe na blog nyingi. Kwasababu blog moja inatumia domain moja. Kwasasa Sina uwezo wa kumiliki blog nyingi, sitaweza kuziendesha. Mimi nime-share fursa hii kwenu kama huamini au unaona nataka kukutapeli Achana NAYO ila jua tu BLOG INALIPA
Back
Top Bottom