Recent content by Bonfire Geniune

  1. Bonfire Geniune

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Ndg ya Mwampamba naona ulikuwa mahakamani ukiweweseka wakati bosi wako anasulubiwa...ha ha ha sasa ya kwenye kikao yalikuwa yanakuhusu nini? Msubili bosi wako huko ccm
  2. Bonfire Geniune

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    Kumbe tamuchungu ni yule masalia wa kibaha best yake mm.
  3. Bonfire Geniune

    Albert Msando, Mwanasheria wa Zitto, Kitila na Mwigamba Kuunguruma kesho Serena 4.30 asbh

    Ngoja tusubili wanaweza kuwa wana uamuzi mzito wa kutuachia chama chetu kwa amani na kurudi kwao ccm! Mungu ibariki iwe hivyooo...Amen:amen:
  4. Bonfire Geniune

    Naibu Meya wa Jiji la Arusha ampinga mkurugenzi wa idara ya maji,kuhusu wamiliki wa Hotel za Kitali

    watendaji hapa arusha wanaishi kwa mazoea zama zao zimeisha ! big up chadema big up papaa msoffe!
  5. Bonfire Geniune

    Naibu Meya wa Jiji la Arusha ampinga mkurugenzi wa idara ya maji,kuhusu wamiliki wa Hotel za Kitali

    kwa kasi hii anayokwenda nayo jembe msoffe yafaa awe mayor kabisa wa jiji la arusha ili watendaji wafundishwe jinsi ya kufanya kazi
  6. Bonfire Geniune

    Itv wame edit picha -kigoma

    Ndg kwa kukusaidia bora jinyonge ufe maana huko tuendako utaumia sana na cdm
  7. Bonfire Geniune

    Naibu Mayor Amlipua Mkurugenzi

    Leo mchana diwani wa kata ya daraja II na Naibu Mayor wa Jiji la Arusha Ndg Prosper Msoffe amezungumza na vyombo vya habari akimuagiza Mkurugenzi wa idara ya maji kufukua chemba zote za maji taka za mahoteli kumi(10) aliyoyaziba kwa zege kwa madai ya kuwadai wamiliki wa mahoteli hayo, Hoteli...
Back
Top Bottom