NI DHAHIRI NA SHAHIRI kuwa ccm sasa wanahaha ndio maana bw werema aliwaambia ccm waache kutukana hata yeye alikereka mno ndio maana alisema alisali watu wasipigane maana kwa asili ya werema mwanaume hawezi kutukanwa na mwanamke akabaki salama jusa alidhalilishwa mno na yule kimada
mashangingi...
acha ujinga nyaronyo ametumia fasihi ya hali ya juu wewe kilaza unafikirii ni kujinyonga kweli
bwana nyaronyo tuwahamasishr watanzania wote wajinyonge naona arusha wameamua leo hii wamewagalagaza wanuswa na mbwa wamepigwa 4-0
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.