Mkuu ni kwamba ningependa kufahamu mazingira ya kazi ktk hii kampuni yakoje na ikiwezekana kujua kama inawajali wafanyakazi wake ama lah.Si unajua mambo ya private ni shiida.Pia wamiliki ni wabongo ama raia wa kigeni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.