Kaka asante sana... Kwa ushauri mzuri... Pikipiki ilikua ya mkopo .. pia wazazi walifariki wadogo atukuachiwa ata mashamba na yeye bado kijana alikua ndo anajitafuta apate chochote kitu.. ila menginenafanyia ushauri asante ndugu zangu🙏🙏🙏
Kiufupi Hadi sasa wamesaidia sana.... Kaka ... Lakini pesa ni nyingi .. ata hapa tulipofika wameungana nasi... Maana familia yetu ni zaidi ya duni Kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.