Recent content by bne

  1. B

    MPAKA LINI TUTAKUJA HURU?

    Kwa mawazo yangu nafikili nch tutakuja kua huru pale taasisi mbili muhimu zitakapokuja kupata viongozi wenye akili na wenye kujielewa. Wenye kujali maslai ya taifa zaidi kuliko kujali maslai yao binafsi. Taasisi hizo ya kwanza ni jeshi la polish. Siku ukipata kiongozi anaejielewa na kuelewa kua...
  2. B

    GE2025 Ningekuwa CCM hata mniue siwezi kufanya REFORMS kamwe

    Huo ndio ukweli hivyo ccm inapaswa kulazimishwa kufanya reforms. Lkn kuiomba ccm ifanye reform ni ndoto za mchana
  3. B

    Martha Karua aliyezuiwa kuingia Tanzania awasili Kenya, apokelewa na wanaharakati. Aiponda CCM, Serikali na Rais

    Hayo nayo ni mawazo ya kijinga sababu unasemaje kua tunaishi kwa Armani wakati Jamii Inalia kwa kutekwa na kupotezwa? Au sababu sio ndugu zako?
  4. B

    VIDEO: Rais Samia amuombea kura za Ukurugenzi wa WHO Mohammedi Janabi

    Sehemu kubwa ya maandishi yako yametuama ktk kumsifia raisi samia kama vile yeye ndie mgombea. Nilitegemea utumie nguvu kubwa kumpamba JANABI ili sisi tujue ubora wake. Zaidi naona andishi lako limelenga kujipendekeza tu.
  5. B

    Viongozi CHADEMA wanapukutika, wanabaki wananchi “wanyonge” tu

    Hujui ukisemacho. Wote hao ni wastaafu
  6. B

    Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

    Dah! Naomba tafadhari niambie chama chochote kilichotumia njia ya kistarabu ktk kuviondoa vyama vya ukombozi afrika. Hivi vyama vya ukombozi vinasirika moja ya kung'ang'ania madaraka
  7. B

    Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

    Kwahiyo unaweza shika dola kwa kuiomba dola ikupe dola? Hiyo ni akili au matope? Ninani ambae yuko tayari kuachia dola ili ampe luau? Wote walioshika dola walipambana na dola ndio wakashika dola.
  8. B

    PreGE2025 Waziri Ndumbaro: Serikali haipendi kabisa matamko ya kukurupuka ya TLS

    Serikali inapotoa rushes ktk vyombo vyake ili isemwe vizuri
  9. B

    Lissu anaweza kuivusha nchi lakini hawezi kukivusha chama chake!

    Kwakweli hata mm nimeshangaa sana yaani inakuwaje watu wazima na akili zao wanatoa hoja za kitoto kiasi hicho? Kama hawana hoja za kupambana na lissu nibora wakae kimya kuficha madhaifu yao. Haingii akilini mtu waliotembea nchi nzima wakimnadi ili awe raisi wa nchi eti leo watuambie hawezi...
  10. B

    PreGE2025 Tundu Lissu hana karama ya kuongoza chama kikubwa kama CHADEMA, msifanye makosa ya kumpa Uenyekiti

    Ujinga wa kimataifa. Ni huu yaani tundu lisu hawezi kuongoza chadema lkn anaweza kuongoza nchi. Msitufanye sisi wajinga
  11. B

    PreGE2025 Kwanini kelele kwa Lissu na sio kwa Wenje?

    Uwezo mdogo wa kufikili kwa wanao mshangaa lisu
  12. B

    Picha: Lissu na Mbowe leo hii

    Mbona aliyetangaza kugombea makamu mwenyekiti wa chama hamkuhoji pesa alitoa wapi? Acheni udikiteta wa madaraka. Ni ujinga huo
  13. B

    LGE2024 Tunduma: Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa baada ya kuvamiwa nyumbani kwake Azikwa

    Hakika ni ukichaa wa madaraka. Iko cku watalipa
Back
Top Bottom