Kwa mawazo yangu nafikili nch tutakuja kua huru pale taasisi mbili muhimu zitakapokuja kupata viongozi wenye akili na wenye kujielewa. Wenye kujali maslai ya taifa zaidi kuliko kujali maslai yao binafsi.
Taasisi hizo ya kwanza ni jeshi la polish. Siku ukipata kiongozi anaejielewa na kuelewa kua...
Sehemu kubwa ya maandishi yako yametuama ktk kumsifia raisi samia kama vile yeye ndie mgombea. Nilitegemea utumie nguvu kubwa kumpamba JANABI ili sisi tujue ubora wake. Zaidi naona andishi lako limelenga kujipendekeza tu.
Dah! Naomba tafadhari niambie chama chochote kilichotumia njia ya kistarabu ktk kuviondoa vyama vya ukombozi afrika. Hivi vyama vya ukombozi vinasirika moja ya kung'ang'ania madaraka
Kwahiyo unaweza shika dola kwa kuiomba dola ikupe dola? Hiyo ni akili au matope? Ninani ambae yuko tayari kuachia dola ili ampe luau? Wote walioshika dola walipambana na dola ndio wakashika dola.
Kwakweli hata mm nimeshangaa sana yaani inakuwaje watu wazima na akili zao wanatoa hoja za kitoto kiasi hicho? Kama hawana hoja za kupambana na lissu nibora wakae kimya kuficha madhaifu yao. Haingii akilini mtu waliotembea nchi nzima wakimnadi ili awe raisi wa nchi eti leo watuambie hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.