Recent content by bne

  1. B

    Ni laana kwa familia ya Mbowe kuwadhurumu waandishi wa habari wanyonge

    Pamoja ya kwamba mm ni shabiki mkubwa wa mbowe lkn kwa hili nafikili alitazame upya kwani halitoi sifa njema kwake na kwa chama. Tafadhari sana
  2. B

    Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

    Kuna ukweli ndani yake lkn kwa ukweli nikua hata kwa jpm watu walikua wanalalamika,walipokua wanaona Mambo hayaendi sawa. Sema tu jpm alikua mbabe asiekua na akili
  3. B

    Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

    We hujui au hauishi Tanzania hadi uulize?
  4. B

    Zitto ashauliwe, anayo fursa ya kuamua, kuzikwa pembeni ya Membe au akae kwa kutulia!

    Magufuli alikua muuwaji huwezi mfananisha na membe hata kidogo
  5. B

    Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

    CWT Kuna Hela bwana Tena Wala hazina maulizo Wala mahesabu. Waalimu wamelala Sasa kwann aende eti ktk UDC ambapo maswali mengi na kazi inategemea huruma ya mtu . Chezea Hela ww?
  6. B

    Wimbo wa Zuchu (Kwikwi) kutungiwa mitihani wa shule; Serikali mko wapi?

    Jaribuni kutafuta mashairi mengi ndio mtajua maana ya nyimbo hizo. Mawazo Yako yamejazwa na hisia hizo ndio maana hisia zako zikakimbilia ktk swala la ngono. Kimtokacho mtu ndio kile Kilichomoyoni mwake
  7. B

    Tofauti yetu na Kenya, Malawi au Zambia sio Umasikini ni levo ya ujinga, sisi tuko juu kwa ujinga

    kwani wote tunafanya kazi za aina moja na ya wakati mmoja? kuna watu wanafanya kazi ucku na mapumziko yao yaanaanza asubuhi. wote ni watu wazima na tunajua majukumu yetu kwanini tupangiane muda wa kupumzika na kustarehe?
  8. B

    Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

    Hiyo ndio shida inapokua pale njaa inapohamia kichwani na akili tumboni. Anatafuta uteuzi huyo
  9. B

    Je, kupaka matope utawala wa hayati Magufuli kutatubeba wapinzani kisiasa? Magufuli hayupo nasi kwenye ulingo wa kisiasa, kwanini mnakomaa kumchafua?

    Tunajifunza kulingana na makosa. Ukatili wa magu lazima usemwe ili chama chochote kitakachoingia madarakani kisije kurudia makosa hayo
  10. B

    Angalizo kwa Mbowe baada ya kesi iliyokuwa inamkabili kufutwa

    Uzuri ni kua mungu fundi iko cku hizo sheria za unyanyasaji zitakuja kwenu , mtalia na kusaga meno. Na maneno hayo ya kua mtu abadilike ktk kuomba haki yake ni ujinga mtupu
  11. B

    Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

    Dah! Umemjibu vema sana. Kwani huyu mtu alipokua anatesa watu mbona wao walikua wanapiga kelele za kushangilia? Tens Kwa taarifa yake magu hayupo mbinguni bali yupo motoni na anaejua ni mungu tu.
  12. B

    Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

    Ila kuna kitu ktk maandiko umekisahau. " MTU MWEMA AKIFA DUNIA HUOMBOLEZA LKN MUOVU AKIFA NI FURAHA KWA ULIMWENGU"
  13. B

    Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

    Dah! Umejibu vzr sana aisee mungu akubariki
Back
Top Bottom