Recent content by bm27

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata vifaranga wa nyama (broiler) wa kununua

    Asante Ndaha nitazingatia hilo pamoja sana.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata vifaranga wa nyama (broiler) wa kununua

    Habari wana JF mimi naishi mkoani Dodoma nimejiingiza katika biashara ya ufugaji kuku wa nyama. Shida yangu natafuta vifaranga wa kuku wa nyama wa kununua kwani nimekuwa nikiagiza kwa wafanya biashara wa hapa mkoani lakini changamoto yake ni oda inakaa hadi mwezi sijaletewa nikifatilia adithi za...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Mkuu hongera sana kwa kazi ya kutuelimisha, nimekuwa nikikufuatilia toka mwanzo mpaka sasa. naomba msahada wako katika haya 1.Kitabu chako kwa Dodoma kinaweza patikana maduka yapi? 2. Naomba fomla ya kutengeneza chakula cha broiler kwani naexpirience ghalama ktk kununua chakula. 3.ningependa...
Back
Top Bottom