Recent content by blessingskd

  1. B

    Natafuta Soko la Mahindi

    habarini wanajamvi, Nina Mahindi yangu nililima Morogoro na mengine nimeongezea hukuhuku kwa wakulima hivyo nimefikisha gunia 500,naomba kujua bei yake Kariakoo au mwenye shauri niuze wapi kwasababu nilikua nategemea kuyauza Kenya sasa wenye magari wanagoma wanadai kuna folen Sanaa hivyo magar...
  2. B

    Soko la Mahindi na Maharage

    habar wakuu,ninaomba mwenye uelewa na biashara ya mahind huko kariakoo,ni shilling ngapi kwa sasa kwani nina gunia 500,ilikua nikauze Kenya lakini madereva wanakataa wanadai kuna foleni sana hivyo magari yanachukua hadi wiki nne had kushusha mzigo,naomba msaada wenu ndugu zangu kimawazo hasa...
  3. B

    Tigo pesa line...for sale....!

    shingap mi nahitaj nipo keko
  4. B

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    tatizo watu wanaenda lima then hawaleti humu ndani matokeo watu tupate jua,naleta nguvu mtu akikupa ushauri ukaja na matokeo kwa faida ya wengine
Back
Top Bottom