Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania Stanley Kafu (wa pili kulia) wakipeana mikono na Diwani wa Kata ya Kawe Mheshimiwa Fabian Malima (katikati) baada ya kukabidhi vifaa vya kufanyia usafi wa jiji. Shughuli hiyo imefanyika kama kilele cha kusherehekea miaka 29 ya...
Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzi wa Programu za Afrika wa Bridge for Billions, Liliosa Mbirimi (kulia), muda mfupi baada ya kutangazwa kwa ushirikiano wa miaka mitatu kati ya Vodacom Digital Accelerator (VDA) na Bridge for Billions. Ushirikiano...
Benki ya Exim Tanzania imehitimisha mafunzo kwa wanawake wajasiriamali 50 waliofanikiwa kukamilisha programu ya wiki sita ya Women Empowerment Programme (WEP) 2026 jijini Dar es Salaam.
Utekelezaji wa programu hii kupitia mpango wao wa kurudisha kwa jamii wa Exim Cares unalenga kuwajengea...
Na Mwandishi Wetu.
Dar es Salaam-Tanzania, Septemba 3, 2026: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeshinda Tuzo ya Rais ya Wazalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA), katika kundi la wazalishaji wakubwa wa vileo. Tuzo hiyo ilitolewa katika halfa ya mwaka wa 19 tangu Tuzo hizo zilipoanzishwa.
Ushindi...
Wafanyakazi wa Puma Energy Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja huku wakipeperusha bendera, ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ziara ya PumaGas katika mikoa mitano nchini. Ziara hiyo imezinduliwa katika kituo cha Puma kilichopo Bunju, Dar es Salaam, tarehe 3 Septemba 2026, na itaendelea kwa wiki...
Na Mwandishi Wetu.
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026: Kazi 294 zimefuzu kuingia hatua ya kupigiwa kura na wananchi katika msimu wa pili wa Tuzo za Samia Kalamu Awards (SKA 2026).
Kazi hizo zimechujwa kutoka katika kazi 3,003 zilizowasilishwa na waombaji 985 na kufanyiwa tathmini na jopo la...
Mkurugenzi wa Kitengo cha Mtandao wa Vodacom Tanzania Plc Andrew Lupembe (kushoto) na Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa kampuni hiyo Zuweina Farah wakizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Mazingira, Jamii na Utawala (ESG) ya kampuni hiyo kwa mwaka wa fedha ulioishia Machi 2026, ambayo...
Mkuu wa Idara ya Chapa na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Yvonne Maruma akizungumza katika Wiki ya Ubunifu Tanzania 2026 ambapo alizungumzia namna ya Vodacom inavyounganisha Watanzania na kuleta tija kupitia Zaidi ya Mtandao: Hususani Watengeneza maudhui na Majukwaa Mtandaoni kwa kuwapa mtandao...
Mkuu wa Kanda ya Kati wa Vodacom Tanzania PLC, Chiha Nchimbi (kulia), akikabidhi dawati kwa Diwani wa Kata ya Kilosampepo, Boniventure Killian Mwanga (kushoto), dawati hilo ni mojawapo ya madawati 30 yaliyokabidhiwa katika Shule ya Msingi Ihowanja, Malinyi mkoani Morogoro, kupitia mpango wa...
Kwa jamii ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila kuwa na uhakika wa upatikanaji wa maji safi na salama, kupata kituo cha maji ya kutosha kunaweza kubadilisha kwa kiasi kikubwa maisha ya kila siku. Safari iliyokuwa ikichukua masaa kadhaa inaweza kupungua na kuwa dakika chache na kutoa muda zaidi...
Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania Plc, David Tarimo (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano Mkuu wa 10 wa Mwaka wa Wanahisa wa Kampuni ya Vodacom, uliojadili na kuidhinisha maazimio muhimu kuhusu utendaji wa mwaka wa fedha 2026, ikiwemo malipo ya gawio na mwelekeo wa...
Na Mwandishi Wetu.
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka Waandishi wa Habari wa Crown Media kulinda imani ya umma kwa kuzingatia weledi, maadili, uadilifu na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao.
Wito huo umetolewa wakati wa mafunzo ya siku mbili yaliyotolewa na...
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.
Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO) limezitaka Serikali za Afrika kuingiza tiba asilia, utafiti wa kisayansi na uhifadhi wa mazingira katika ajenda ya afya ya bara hilo, likisema hatua hiyo ni muhimu katika kujenga mifumo ya afya...
Na Mwandishi Wetu, Manyara
Manyara Tanzanite Marathon 2026 inatarajiwa kuwa na burudani ya aina yake baada ya wasanii maarufu nchini, Dully Sykes, Banana Zoro na Mr Blue, kuthibitisha kushiriki na kutumbuiza katika tukio hilo litakalofanyika Agosti 22, 2026 mjini Babati, mkoani Manyara...
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam. Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO) limewataka vijana kutumia ubunifu, sayansi na teknolojia kama nyenzo za kujenga uchumi, kuzalisha ajira na kulinda mazingira, likisisitiza kuwa wao ndiyo nguvu ya mabadiliko ya sasa na si viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.