Recent content by Blasio Kachuchu

  1. B

    JamiiForums Tanzania Tiba asili yatakiwa kupewa nguvu ya sayansi na utafiti

    Tunapoelekea kuadhimisha Siku ya Tiba Asili ya Mwafrika tarehe 31 Agosti 2026, Afrika inakabiliwa na swali moja kubwa: Je, tutaendelea kutumia urithi wa tiba asilia kama ulivyo, au tutautafiti, kuuthibitisha, kuuboresha na kuugeuza kuwa sehemu ya suluhisho la afya na uchumi wa kizazi kijacho...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Jamii ya Wandondi na Wandwewe yaomba amani Tanzania na Afrika

    Na Mwandishi Wetu. JAMII ya Wandondi na Wandwewe, imetoa mwito wa kitaifa na kimataifa kwa watu wote wenye nia njema kuungana katika Dua Maalum kwa ajili ya Amani, Umoja, Maridhiano, Mshikamano na Ulinzi wa Maisha ya Binadamu. Dua hiyo ni mwito wa pamoja unaolenga kuwakutanisha watu wa imani...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yapeperusha Bendera ya Tanzania Kimataifa kupitia tuzo za Monde Selection

    Dar es Salaam-Tanzania, 07 Agosti 2026: Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Bia leo, Serengeti Breweries Limited (SBL) inaungana na maadhimisho hayo kwa namna ya kipekee baada ya bidhaa zake kuthibitika kuwa na viwango vya kimataifa. Mafanikio hayo yamekuja kufuatia Serengeti Lite...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Pinda ashangazwa na teknolojia za Mati Technologies Nane Nane, Dodoma

    Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda, ameshangazwa na kiwango cha ubunifu wa teknolojia zinazobuniwa na kuzalishwa na kampuni ya Mati Technologies baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 33 ya Kitaifa ya Kilimo...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Twende Butiama yabadilishwa jina Kuwa 'Nyerere Cycling Tour'

    Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu msimu mpya wa msafara wa Nyerere Cycling Tour (zamani Twende Butiama) utakaozinduliwa mnamo mwezi wa kumi ukiambatana na mashindano ya mbio za Vodacom Coastal Classic. Wadau na Washiriki wa msafara wa mbio...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Plaza Premium Group strengthens Africa footprint with strategic entry into Tanzania

    The upcoming opening of a Plaza Premium Lounge in Dar es Salaam marks long-term commitment to elevating Tanzania’s aviation, tourism, and travel ecosystem.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania yazindua kampeni ya "Zaidi ya Mtandao", Ikiimarisha dhamira yake ya kuleta fursa zaidi ya huduma za mawasiliano

    Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania Plc Brigita Shirima (katikati), Mkurugenzi wa Vodacom Business wa kampuni hiyo Nguvu Kamando (kulia), pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa M-Pesa Tulisindo Mlupilo (kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya "Zaidi ya...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mtendaji wa Stanbic Bank Tanzania Kuzungumza katika Mkutano wa Infra for Africa Forum 2026

    DAR ES SALAAM, Tanzania – Mkurugenzi Mtendaji wa Stanbic Bank Tanzania, Manzi Rwegasira, atajumuika na viongozi wa kimataifa, mawaziri, watunga sera, wawekezaji, taasisi za fedha za maendeleo pamoja na viongozi wa biashara katika Mkutano wa Infra for Africa Forum 2026, unaofanyika jijini Dar es...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Yaendeleza Uwezeshaji wa Wakulima Kupitia Huduma ya Lipa na M-Kulima

    Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania Catherine Masanja (kushoto) akimsajilia line ya Lipa mkazi wa Igoma Irene Ernest, kwenye maonesho ya Wakulima katika viwanja vya Nyamhongolo mkoani Mwanza, Kampuni hiyo iko katika maonesho ya Nanenane ikiwaelezea wananchi bidhaa na huduma mablimbali inazotoa...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Exim Bank, YST waimarisha uwekezaji kwa vijana wabunifu, miaka sita ya ushirikiano

    Meneja Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania, Kauthar D’souza (kushoto), akisalimiana na Mwanzilishi Mwenza wa Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi Tanzania (YST), Dkt. Gozibert Kamugisha (kulia), muda mfupi baada ya Benki ya Exim Tanzania na YST kuzindua ushirikiano wa mwaka 2026...
  11. B

    JamiiForums Tanzania TRAMEPRO yaunganisha mapambano dhidi ya utapeli wa mtandaoni na mila potofu

    SHIRIKA la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO) limetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya utapeli wa mitandaoni vinavyotumia majina, picha na nembo za viongozi wa Serikali, taasisi na watu maarufu kwa lengo la kuwalaghai wananchi na kujipatia fedha kwa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania yapata faida ya TZS Bilioni 47.3 katika robo ya kwanza ya Mwaka, Ukuaji wa Data na M-Pesa ukiendelea kuimarisha matokeo

    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. 24 Julai 2026: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc jana imetangaza faida ya baada ya kodi ya shilingi bilioni 47.3, kwa robo ya mwaka iliyoishia Juni 30, 2026. Ongezeko hilo ni zaidi ya asilimia 200 ikilinganishwa na shilingi bilioni...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Puma Tanzania yafikisha vituo 100, yaongeza uwekezaji Tabora

    Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Mhe. Upendo Wella (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nishati ya Puma Tanzania, Bi. Fatma Abdalla (kulia), wakipanda na kumwagilia mti katika Shule ya Msingi Usule, Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, ikiwa ni sehemu ya shughuli za uwajibikaji kwa jamii...
  14. B

    JamiiForums Tanzania TRAMEPRO yaadhimisha kumbukizi ya Hayati Nelson Mandela, yatoa wito wa umoja

    Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania(TRAMEPRO Tanzania ) limetoa mwitokwa Watanzania, Waafrika na jumuiya ya kimataifa kuendelea kujenga jamii inayoheshimu utu wa kila mtu, kuwekeza katika elimu, afya, sayansi, mazingira na amani. TRAMEPRO imetoa mwito huo...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Save Soil Walkathon yaibua hamasa ya uhifadhi wa mazingira

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, ameongoza mamia ya wananchi na wadau mbalimbali wa mazingira katika matembezi ya Save Soil Walkathon, huku akitoa wito kwa Watanzania kushiriki kikamilifu katika juhudi za kulinda udongo na...
Back
Top Bottom