dah wewe jamaaa una hatari sana ....sasa hizi ndo nyuzi za kusoma humu khaaa ...umenifunza kitu kikubwa saana mkuu . nimechek video saa limoja nimeona kama dakk 15 maana somo zuri sana.BIG UP
Usiongeeee kama muimba tarabu wewe.....Cm ni yangu na ina mwaka na....No stack na haijui fund na inapiga mzigo mzgo.
Hiyo redmi 4x nenda kwenye page yao ya youtube utaona wamepigia salute Infinix hot s3
Infinix wameanza kujitambua kuanzia brand hii kuweka snapdragon processor n.K.....
[emoji1589][emoji1589][emoji1589][emoji1589][emoji1589][emoji1589]Tecno
Hao ni infinix [emoji1531][emoji1531][emoji1531][emoji1531][emoji1531][emoji1531][emoji1531]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.