Mkuu, kwanza kabisa Shukrani kwa kunitoa wasiwasi kwenye hili. Lakini nimekwama sehemu moja na naomba msaada zaidi; nimeweza pale kuchagua hisa nazotaka kununua na kiasi nikaweka pamoja na offer yangu, nikaletewa controll namba kwa ajili ya malipo, swali langu; je nikishalipia ina maana nakuwa...
Nimeona DSE wana mfumo wa kuuza na kununua hisa online. Huwa natamani sana kuingia kwenye huu uwekezaji maana naweza kuweka pesa zangu ndogondogo huko badala ya kuzitumia ovyoovyo. Siwezi kwenda kwa broker kununua hisa ya elfu kumi. Online inakuwa rahisi zaidi. Je, kuna mtu anafanya hii au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.