Recent content by Black Codes Cracker

  1. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ukweli unauma sana wazee.. Ila kama unantukana kimoyomoyo, mwenyewe 😅
  2. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Unatafunwa na wanga 😂
  3. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Haa kufeni sasa 😀.. Jeshi ni wanajeshi tu. Siasa peleka Tamisemi 😂😂
  4. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Soma vizuri uelewe mkuu. Usikurupuke kujibu tu
  5. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kwani mkuu, kuna njia ngapi za kutoa taarifa..!? Ni lazima majina yatoke kwenye karatasi la pamoja (PDF)? Kuna tatizo aliyepata bahati akipigiwa simu? Ukienda kwenye interview za kazi za kiraia, huwa hawapigi simu? Kupiga simu hairuhusiwi kwa taasisi za umma? Ukichagua utaratibu wa taasisi yako...
  6. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mkuu umeongea kwa uchungu sana 😂
  7. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hiki kinaitwa KVZ.. Kikosi cha Valantia Zanzibar
  8. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Nataka nikumeri, nitumie picha yako pm niwaoneshe wakwe zako mkwe wao 🙂
  9. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Cocastic, njoo uone hii 😎
  10. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kuna mwanamke namfananisha na hiyo picha ya profile yake… Nataka nimmeri, nikivaa tu bakabaka 😂..
  11. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ungekuwa uzi wa kulipia, ningekuwa nimepiga sana hela… Nimegundua vijana wengi hawana ajira. Serikali imegundua hilo ndio maana awamu hii watabeba wengi sana kutoka mtaani, kwa kuwa ajira za kiraia ni chache sana… Wameona ni bora wakawapeleke porini huko 😃
  12. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Asilimia 80 mkuu… 😎
  13. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Watu wanautembeza uzi, mwenye uzi wangu nawasoma tu… Nime’chill 😂
  14. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    MAE, 😁
  15. Black Codes Cracker

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kwahiyo sisi wenye 28-30 unatuambiaje..!? 😃
Back
Top Bottom