Mm naona ni mapenzi ya mke na mume ktk ndoa.watakavyoamua kuishi wenyewe.pia 'mkuki kwa ngurue kwa binadam mchungu!huyo mwanamke kwake ni sahihi lakini kwa kaka yake kaona ameshikwa! Kama ni haki na yeye aache kumtumikisha mwenzake kwani yeye hakuzaliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.