Recent content by Bizy

  1. B

    Nimesitisha Zoezi la kutafuta mchumba JF

    Wengine wanafurahia kucheza na akili za watu! Endelea kumtumainia Mungu, utampata tu aliye serious.
  2. B

    Natafuta mpenzi mwenye mapenzi ya kweli.

    Kila la heri
  3. B

    Siami ni kama nimekosa mpenzi wa kuoana naye humu jamii forum

    Utapata tuu, endelea kuamini hivyo..!
  4. B

    Viwanja vinauzwa kwa bei nafuu.

    Ungeweka bei ingekuwa vema sana.
  5. B

    JF imenipatia binti.

    Hongereni sana na kila la heri katika kutimiza ndoto yenu.
  6. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Sijakuelewa ndugu. Unamaana gani?
  7. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Mh...!
  8. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Asante sana
  9. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Ni kweli nimepata PM nyingi, kwa sababu nina mshirikisha Mungu katika suala hili, naamini ananiongoza vema katika kumjua nani hasa ananifaa...Soon nitakuja hapa kuwapa feedback.
  10. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Asante sana.
  11. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Pole....
  12. B

    Nimeamua kuwa Single maisha yangu yote yaliyobakia Dunia hii

    Tafakari kwa makini hayo maamuzi unayotaka kuyafanya! Naona ni maamuzi mazito sana..
  13. B

    mume wa mtu

    Hakuna kitu kinaponza kama kumpa mwanaume nafasi ya kumsikiliza wakati unaelewa nini anataka.! Umeshamwambia una mpenzi wako.. Sasa unampa nafasi ya kukubughudhi kwa nini? Kama akikupigia simu usipokee, sms usimjibu..! Au na wewe unampenda??
  14. B

    Naamini mume wangu atapatikana humu JF

    Thanks Wendie.
Back
Top Bottom