Ni kweli nimepata PM nyingi, kwa sababu nina mshirikisha Mungu katika suala hili, naamini ananiongoza vema katika kumjua nani hasa ananifaa...Soon nitakuja hapa kuwapa feedback.
Hakuna kitu kinaponza kama kumpa mwanaume nafasi ya kumsikiliza wakati unaelewa nini anataka.!
Umeshamwambia una mpenzi wako.. Sasa unampa nafasi ya kukubughudhi kwa nini?
Kama akikupigia simu usipokee, sms usimjibu..! Au na wewe unampenda??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.