Recent content by bitabo23

  1. B

    Msaada: Naambiwa nikachukue Cheti cha Kifo mkoa mwingine nami nipo mkoa mwingine, nafanyaje kukipata?

    Habari ya majukumu, Mimi niliomba cheti cha kifo cha mzazi, majibu yametoka ‘fika ofisi za RITA Bukoba Kagera uchukue cheti chako’, nami kwasasa niko Arusha Naweza kufanyeje Ili nipate nakala ya cheti hicho? Asanteni kwa msaada wenu 🙏🙏
Back
Top Bottom