Recent content by Bismarck 1984

  1. B

    Ukitafakari mazingira anayopitia Mwalimu kwenye baadhi ya Shule za Private utalia machozi

    Sasa Ndugu Yangu, Na Wewe nakujua ni mtu Mzoefu unasema Waalimu Waache kufundisha Unataka watoto wako Wafunsishwe na nani? Tukikaa kimiya Huoni kwamba tunaangamiza taifa. Sisi ni wadau Wa Elimu lazima tuongee hata kama kuna watu kama wew Wanaopenda mwalimu anyanyasike, sisi tutaleta maovu yo...
  2. B

    Ukitafakari mazingira anayopitia Mwalimu kwenye baadhi ya Shule za Private utalia machozi

    " Jana Niliona toleo lilotamalaki sana kwenye Vyombo vya habari kuwa Wazazi wasiwapeleke Watoto wao Kusomea Ualimu kutokana na Maslahi Kiduchu amabyo mwalimu Anapata au Analipwa. Nikaenda mbali sana kwa kuwaza na kuwazua Nikaona nianze Kufanya Uchunguzi wangu wa ndani kabisa. Sasa kabla...
  3. B

    Tusiime Holdings (T) Limited inapaswa ichunguzwe na Tume Huru

    Majigambo TU hayo hayana Uhalisia kwa Sasa, Atatumia hela Hadi Atazidisha kile kiwango Ambacho Alipaswa Kulipa na Mwisho Wa Siku Atalipa tu. apende Asipende Zitamtokea Puani
  4. B

    Tusiime Holdings (T) Limited inapaswa ichunguzwe na Tume Huru

    Kwenu Wana Jamii , Kuna Haja Kubwa Ya Kuchunguza Hizi Taasisi Binafsi Kwani Kuna Ukiukwaji Mkubwa Wa Taratibu na Sheria za Wafanyakazi huku Kwenye Taasisi Binafsi. Huku Mambo Hayaendeshwi kwa Sheria Za Nchi Ni kwa Matakwa ya Mtu ,Vile Atakavyoamua. Mkurugenzi Wa Tusiime Aliamua TU Kuwa Halipi...
Back
Top Bottom