Unaweza pia kusomea social work. Ukiwa na diploma ya nursing unaingia kirahisi shahada ya Social work. Ukijiunga chuo Kikuu Huria cha Tanzania huhitaji likizo ya masomo, unaweza kusoma ukiwa kazini, mahali popote duniani.
Anaweza kusoma certificate ya kilimo au afya, ingawa ushindani ni mkubwa. Mshauri asome certificate ya ufugaji wa kuku Ope:tonguez:n University of Tanzania, itamsaidia kujiajiri.
Nadhani unahitaji ufanye kazi kwanza, baada ya kumaliza masomo ya shahada ya kwanza, badala ya kuunganisha kusoma masters. Hii inakupa shida kuamua usome nini kwa vile hata hujui utafanya kazi gani. Nina wasiwasi kuwa hujui hata kozi unayosomea itakupeleka wapi? Mtaalamu yeyote hutambulika kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.