Mob hilo eneo ni langu mm. Mimi sio dalali. Ni sehemu yangu na ndio mana nikaitangaza hapa kwakuwa sitaki kupitia kwa dalali. Fanya survey pande hizo kama utapata kwa bei hiyo. Labda maeneo ya mabondeni. Kiwanja tambarare na kipo karibu na barabara, maji yapo, na kipo barabarani kwenye njia za ndani
Vina ukubwa wa square meter 440 kila kimoja, vinapakana. Vipo karibu na barabara kuu ambayo inaunganisha mbezi beach na mbezi kimara kupitia goba. Umbali ni dakika 5 kwa kutumia gari. Umeme upo na maji yapo. Bei milioni 8 taslimu kwa kila kimoja. Mawasiliano 0713484896
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.