Ndio maana nimeweka services and product. Kama una products unaweza kuuza au kama una services pia unaweza kuuza. Kuna jamaa alitoa intro ya business idea kama 50 lakin ku implement nadhani hadi uonane na jamaa akupe strategy, ni ngumu sana kwa upande wangu.
Kipi kigumu kwako ni kuweka au kuwa na wazo la biashara. Maana kuweka ni rahisi kuliko kuwa na wazo la biashara.
APP inasaidia kutafuta partnership au kuuza wazo lako la biashara kwa wahitaji. Ingia utaona walioweka ili upate mwanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.