Sijajua watu hawajaelewa nini? Anachosema ni kuwa Siku ya kwanza ya juma ni jumapili na siku ya saba ni jumamosi (Siku ya ibada takatifu, yaani sabato ya Bwana, ambayo ni amri ya 4 kati ya amri 10 za Mungu)
Kitabu cha ajabu kinachoelezea matukio makuu ya ajabu yatakayotokea duniani kuelekea kufungwa kwa historia ya ulimwengu.
Ukikisoma hutabaki ulivyo....anayehitaji ani DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.