akichangia mchadala katika mkutano wa REDET,mheshimiwa zitto kabwe kawapa changamoto wasomi wa tz,acheni woga kwa kwaofia wakenya mtadhani kwamba wanatoka mbinguni kumbe tuko nao hapa hapa duniani na kibaya zaidi hapa hapo afrika ya mashariki,wao wana nini na sisi tushindwe kumekosa nini ...
Tunauwezo wa kushindana na Wakenya,Watanzania tusiwe na wasiwasi,wasiwasi tulionao ndiyo unatudumaza na kuonekana malimbukeni wakati tuko vizuri na hata wakenya wanatambua hilo wanachotumia ni vita vya kisaikolojia tu
bigmakky
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.