Nakubaliana nawe kamanda lema, na ntakuombea kwa mola kwa maana najua unahatarisha maisha
yako. Ningetarajia na bado natarajia matamko kama haya yatoke midomoni mwa viongozi wa juu
kabisa wa kanisa katoliki nchini. Ndio, narudia, kanisa katoliki nchini. . .hakuna asiyejua kuwa ndio kanisa...
Nakubaliana nawe kamanda lema, na ntakuombea kwa mola kwa maana najua unahatarisha maisha
yako. Ningetarajia na bado natarajia matamko kama haya yatoke midomoni mwa viongozi wa juu
kabisa wa kanisa katoliki nchini. Ndio, narudia, kanisa katoliki nchini. . .hakuna asiyejua kuwa ndio kanisa...
Nampongeza mh waziri kwa jitihada zake na hasa hapo tpa na airport.
Ila namuomba, katika speed ya kuwahi analolilenga awe makini na kuangalifu
na njia anayopita. Juzi kati hapo bandarini alipeleka waandishi wa habari
na kuitangazia dunia kuwa amekamata wezi walioshirikiana na wafanyakazi
wa tra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.