Wakuu sintakuepo hewani kwa muda simu imeleta shida so kesho kutwa ndo ntakuepo mtanangeni .........
Maana hii vita tunayopambana humu sii ya kitoto aisee
Mpaka simu imezingua duhh sijui wameipiga na javelina hawa jamaa zetu...
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787].....
Ndo maana mi huniambii kitu kuhusu kuanzia MWAMBA PUTIN mpaka walio chini yake yaani sisi huku .......tuko smart sana ki akili na ufaham ....
Naona kuna watu wanarindimisha matusi mazito mazito humu
Wanaume wanasifiwa kuwa na vifua
sasa vifua vyetu tuvitumie kubeba vitu vizito tusiwe kama wadada wanao chambana .....tujikite kwenye mada .....wakuu
Mi nawashangaa watu kama nyie ....asa unaposema bila nyuklia putin hawezi kitu .....huo ni upopoma
the same hata marekani bila nyuklia asingeipiga japan enzi hizo na hata sasa maana alizidiwa na japann nyuklia ndo ilimsaidia na hata sasa bila hiyo nguvu ya nukes marekni asingemtishia mtu ...
Amenipiga ban mwanangu .......[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Afu kichwani kwake hamna kitu ndio maana ukimdunga na spana za maana za kichwa ana waka anakuwa mkali badala ya kujibu hoja .....
Mkuu hapo unajichosha tu mwenzako
akishatupia DONA kwa beans baasi anaona maisha ndo haya hajui kuwa kuna mtz mwingine ana hitaji NGANO na ishu zingine zinazo husiana na maisha haya kutoka russian
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.