Ipo canon T2i ikiwa na lens take Tsh 680,000 unapata battery charger na battery 2 ambazo zitakusaidia wakati unashoot video battery 1 ikiisha chaji, wakati unaichaji ingine inakusaidia kuendelea na shooting
Habari zenu
Canon zoom lens 18mm-55mm lens f3.5-5.6 Inauzwa. Ni mpya haijatumika maana kwenye kamera yangu baada ya kununua nili switch kwenda kwenye prime lens
Bei sh 250,000.
Hii inatumika kupiga picha na kushuti video. Inakaa kwenye camera canon 500D,550D, 600D Hadi 800D. Hata kwenye Nikon...
Kwa wale wanaoanzisha au wanaotaka kuanzisha VICOBA au vikundi vidogo vidogo vya ushirika au kukopeshana ikiwamo vya kiukoo au kifamilia, lazima kuwe na set ya sheria zinazoongoza vikundi hivyo yaani katiba.
Kwa kuwa ni vikundi vidogo vidogo vinavyoanza, nawaandikia katiba hizo na miongozo ya...
Tunaqndaa documents pia kama unataka anzisha NGO ya aina yoyote. Documents zote zinazohitajika tunakuandalia. Ili ufanye mambo Yako ki professional.
Pia MOU za kuanzisha kampuni tunaqndaa. Kama wewe ni kijana unaanzishabiashara bila kuwà na kampuni, heshima hupati mjini.
Katika maisha Moja ya chanzo kikuu Cha stress na changamoto za afya ya akili ni mtu kushindwa au kuahirisha fanya maamuzi. Kama sio Leo au Sasa utafanya maamuzi lini.
Kuna mtu nilimsikia akisema hivi, ni mzee Fulani, "ushasikia ubaya wa kuzimu, na mateso yake? Mateso yake ni mtu aende kuzimu...
Habari zenu
Kutokana na hali mgumu ya maisha na uwezo mdogo wa watanzania wanaotaka kuanza biashara na miradi Yao mbalombali, nimeamua kushusha bei sana kutokana na maombi ya watu wengi.
Proposal zote za business ikiwemo feasibility studies ambazo mtaji wake ni sh 2m kushuka bila kujali aina...
Habari
Mota ya kuzungusha machine ya kusaga mahindi inauzwa. Mota hii ipo kibaha mkpa wa pwani. Ina Hz 50. Bei sh 1..8m. Anayehitaji karibu. 0758308193
Habari zenu Nauza mbegu za michongoma. Zipo kibaha. Kwa anayehitaji kwa ajili ya kupanda kama fence kwenye kiwanja ama shamba lake anaweza nicheki kwenye namba 0758308193 na bei ni sh 10000 kwa chupa ya soda yenye mbegu. Mfano eneo la eka 1 chupa 6 zinatosha. Hiyo ni gharama ndogo kuliko kuweka...
Hello
Shamba linauzwa eka 6 kwa Tsh. 12M. Lipo kongowe kibaha kijiji kinaitwa vikuge. Kutoka lami ya kwenda mlan dizi ni km 4 na kuingia kijiji kisha kutoka kijijini hadi shambani ni km 2.
Shamba lilipo kuna shule ya boding imejengwa km mita 700 hv. Pia kuna.shamba la ufugaji la mtu mwingine...
Mi ninauza shamba eneo la kongowe kijiji cha vikuge kibaha km 5 toka morogoro road hadi kijijini vikuge kisha km 2 hadi shambani. Shamba lina slope kidogo halipo tambarare kabisa lipo karibu na ranch ya Jenerali Ulimwengu lkn pia pembeni kuna shule ya sekondari km mita 500 hv toka ktk shamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.