Recent content by Biashara2000

  1. Biashara2000

    Canon 18mm-55m lens inauzwa

    Ipo canon T2i ikiwa na lens take Tsh 680,000 unapata battery charger na battery 2 ambazo zitakusaidia wakati unashoot video battery 1 ikiisha chaji, wakati unaichaji ingine inakusaidia kuendelea na shooting
  2. Biashara2000

    Canon 18mm-55m lens inauzwa

    Unaweza ingia youtube ukaandika mfano canon 550D na jina la hiyo lens ili uone ubora wa video inavyotoa
  3. Biashara2000

    Canon 18mm-55m lens inauzwa

    Habari zenu Canon zoom lens 18mm-55mm lens f3.5-5.6 Inauzwa. Ni mpya haijatumika maana kwenye kamera yangu baada ya kununua nili switch kwenda kwenye prime lens Bei sh 250,000. Hii inatumika kupiga picha na kushuti video. Inakaa kwenye camera canon 500D,550D, 600D Hadi 800D. Hata kwenye Nikon...
  4. Biashara2000

    Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali

    Kwa wale wanaoanzisha au wanaotaka kuanzisha VICOBA au vikundi vidogo vidogo vya ushirika au kukopeshana ikiwamo vya kiukoo au kifamilia, lazima kuwe na set ya sheria zinazoongoza vikundi hivyo yaani katiba. Kwa kuwa ni vikundi vidogo vidogo vinavyoanza, nawaandikia katiba hizo na miongozo ya...
  5. Biashara2000

    Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali

    Tunaqndaa documents pia kama unataka anzisha NGO ya aina yoyote. Documents zote zinazohitajika tunakuandalia. Ili ufanye mambo Yako ki professional. Pia MOU za kuanzisha kampuni tunaqndaa. Kama wewe ni kijana unaanzishabiashara bila kuwà na kampuni, heshima hupati mjini.
  6. Biashara2000

    Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali

    Katika maisha Moja ya chanzo kikuu Cha stress na changamoto za afya ya akili ni mtu kushindwa au kuahirisha fanya maamuzi. Kama sio Leo au Sasa utafanya maamuzi lini. Kuna mtu nilimsikia akisema hivi, ni mzee Fulani, "ushasikia ubaya wa kuzimu, na mateso yake? Mateso yake ni mtu aende kuzimu...
  7. Biashara2000

    Tunaandaa documents mbalimbali kwa ajili ya wajasiriamali

    Habari zenu Kutokana na hali mgumu ya maisha na uwezo mdogo wa watanzania wanaotaka kuanza biashara na miradi Yao mbalombali, nimeamua kushusha bei sana kutokana na maombi ya watu wengi. Proposal zote za business ikiwemo feasibility studies ambazo mtaji wake ni sh 2m kushuka bila kujali aina...
  8. Biashara2000

    Mota ya kusaga mahindi inauzwa

    Habari Mota ya kuzungusha machine ya kusaga mahindi inauzwa. Mota hii ipo kibaha mkpa wa pwani. Ina Hz 50. Bei sh 1..8m. Anayehitaji karibu. 0758308193
  9. Biashara2000

    Nauza mbegu za michongoma

    Hiyo hiyo ya fence. Ndio bei yake.
  10. Biashara2000

    Nauza mbegu za michongoma

    Habari zenu Nauza mbegu za michongoma. Zipo kibaha. Kwa anayehitaji kwa ajili ya kupanda kama fence kwenye kiwanja ama shamba lake anaweza nicheki kwenye namba 0758308193 na bei ni sh 10000 kwa chupa ya soda yenye mbegu. Mfano eneo la eka 1 chupa 6 zinatosha. Hiyo ni gharama ndogo kuliko kuweka...
  11. Biashara2000

    Natafuta shamba maeneo ya Dar au Pwani

    Hello Shamba linauzwa eka 6 kwa Tsh. 12M. Lipo kongowe kibaha kijiji kinaitwa vikuge. Kutoka lami ya kwenda mlan dizi ni km 4 na kuingia kijiji kisha kutoka kijijini hadi shambani ni km 2. Shamba lilipo kuna shule ya boding imejengwa km mita 700 hv. Pia kuna.shamba la ufugaji la mtu mwingine...
  12. Biashara2000

    Nahitaji shamba la kununua

    Mi ninauza shamba eneo la kongowe kijiji cha vikuge kibaha km 5 toka morogoro road hadi kijijini vikuge kisha km 2 hadi shambani. Shamba lina slope kidogo halipo tambarare kabisa lipo karibu na ranch ya Jenerali Ulimwengu lkn pia pembeni kuna shule ya sekondari km mita 500 hv toka ktk shamba...
  13. Biashara2000

    Excavator/kijiko kinauzwa

    Update: Mzigo ushaletwa Dar jana usiku so upo Dar km kuna mtu anataka kuuona tunaweza panga
Back
Top Bottom