Recent content by bhou

  1. B

    Mpango wa wabunge kufisadi nchi kupitia posho na kiinua mgongo huu hapa

    Wajameni wakati bunge linakaribia kuvunjwa umenaswa waraka unaoonesha mpango wa wanaojiita wawakilishi wa wananchi kujilipa posho za mamilioni ambazo hazilingani na maisha halisi ya wananchi na pia hazifanani na namna wawakilishi hao wanavyotaka jamii iamini kuwa wao ni watetezi wa wananchi...
  2. B

    Lowassa aibuka na staili ya CHADEMA

    WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameibuka na staili inayotumiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kuendesha operesheni maalumu za kisiasa, safari hii vijana wanaojihusisha naye wakianzisha vuguvugu la kusaka Ikulu walilolitambulisha kwa jina la ‘4U Movement. Vuguvugu...
Back
Top Bottom