Hapana, majenerali wetu hasa huyu, ni kamanda kweli. tatizo ni pale wanapouvua uanajeshi/ukamanda na kuongozwa au kusikiliza ya wanasiasa/wanamaslahi/watu aina ya Abdul na the like inakuwa shida. Unakumbuka hata ile statement yake wakati wa maandamano ya 29 October, hakuitoa kama CDF. Alikuwa ni...
a. Aliingia kupitia mtandao
b. Akamtema namba mbili wake katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi
c. Uchaguzi uliofuata akatumia familia kufanya kampeni nje ya mfumo wa chama.
d. Alitumia muda mwingi nje ya nchi
e. Akamuaandaa shemeji yake kuwa kumrithi wa nafasi yake. Alimanusra chama...
1. Pamoja na umasikini wa kuletwa, lakini hata hicho kidogo kinaishia mikononi mwa wachache. sasa hao wachache ndiyo wanahakikisha hakuna uchaguzi huru. siyo CCM yote.
2. Matumizi mabaya ya serikali. Toeni mifano halisi kwa nini pesa ya wanainchi inavyoliwa. Tumieni mifano rahisi kueleweka...
Moto wa chama chini ya FAM umezima kabisa. Na kwa approach yake chama kinaelekea kuwa kama CHAUMA kuwa kipo lakini hakipo. Ni wakati sasa kuurudisha moto na ari ya mageuzi kwa kuleta damu mpya. CCM huwezi kuitikisa kwa approach ya FAM. Huwezi. CCM inahitaji kupata chagizo sahihi za akina TAL...
Kweli kabisa. Wasiwasi wangu, kama mpango miji wa AFCON City hautapitishwa mapema, 2027, tujiandae na kuwa na squatters zimezunguka uwanja. Na pia hao vigogo wanaokwamisha zoezi hilo ni kina nani hasa?
Juzi tumeona maendeleo ya ujenzi wa kiwanja cha mpira cha AFCON kule arusha. Lakini, huwezi kuamini, hadi sasa serikali imeshindwa kuhitimisha michoro ya AFCON City kuuzunguka uwanja. Sababu zinatajwa, vigogo wanang'ang'ania maeneo yao yapangiwe vivutio vizuri zaidi tofauti na wataalaumu wa...
Chama cha upinzani Chadema kwa muda sasa wameshindwa kuunganisha nguvu ya umma dhidi ya serkali. Sasa ni serikali yenyewe imeleta kiwashio cha bomu. Chadema sasa inatakiwa ku detonate na nchi nzima ilipuke. Ni simple sana. Kwa kuwa kuenguliwa kwa wagombea wao ni mkakati, na hata baada ya...
Huyu naye akae kimya kabisa. Kwa hiyo anataka kusema nini hapa. Naye ameingia kwenye kundi la kulialia. Kwa nini asisimame na kutamka wazi nini kifanyike. Hii kukaa unalinganisha na kipindi cha Nyerere wakati alikuwa na nafasi ya kurekebisha hali isije fikia tukawa na misururu ya magari mia huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.