Recent content by Bhaghosha

  1. Bhaghosha

    Hotuba za Chadema ziwe za kutia hamasa na hasira kwa wasikilizaji wake dhidi ya watawala

    Mikutano ya hadhara kwa vyama ni njia mojawapo ya kufikisha ujumbe unaokusudiwa. Lakini pia hutumika kuleta hamasa au hasira/mori. Mnakumbuka Mtikila na Magabachori pale Jangwani. Nawashauri sasa Chadema kugeuza approach. Katika wasemaji wao wachanganye pia watu wa aina ya Mwabukusi, au Askofu...
  2. Bhaghosha

    Kwa hii Chipukizi ya Watoto wa Viongozi CCM inajichimbia kaburi.

    I Imeshatengenezwa tayari. Ni wao tu hivi sasa.
  3. Bhaghosha

    Hizi hapa nchi 4 zilizofuta takwa la Visa kwa waafrika wanaotaka kutembelea nchi hizo

    Wakina nani wakati wanaoikamua hii nchi wamo humu humu inchini.
  4. Bhaghosha

    Uwekaji Meter za Maji Nje ya Nyumba na Wizi wa bomba zake ikidaiwa ni wauza Vyuma Chakavu

    Wiki hii huko Arusha usiku wa manane watu wasiojulikana waling'oa mabomba yanayounganisha meter za maji na kuondoka nazo. Inasadikiwa siyo chini ya meter 25 katika eneo hilo. Wanainchi wanaamka asubuhi wanakuta maeneo yao yamefurika na maji. Idara ya maji ilipojulishwa ilijivuta kuja kudhibiti...
  5. Bhaghosha

    Maamuzi ya Rais Samia kubadili jina la Chuo cha Diplomasia kuwa Dr. Salim Ahmed Salim centre for Foreign Relation yapo sawa kidiplomasia?

    Ni kweli akili ya miaka ya 70. Tunaitwa Gen X, hizi AI zako haziwezi kufunction ukitoa historia. Kikubwa hapa, Chuo hiki kina historia beyond Salim Ahmed Salim. So kukiname na SAS ni kukishusha sana.
  6. Bhaghosha

    Rais Samia tafadhali sana…..

    Mahatma Ghandi wala hajawahi kuwa kiongozi wa India
  7. Bhaghosha

    Waziri Nape akimkaribisha Maharage Chande Wizarani "Mshale Umerudi Nyumbani"

    Nchi ya ajabu sana hii. Mtu katolewa kwa incompetence halafu anahamishiwa kwenye shirika jingine ambalo liko kwenye mchakato wa kubinafsishwa. Unaona hata wanavyochekeana, hakuna userious kabisa hapo. Zero. Ni kweli mshale umerudi nyumbani na pia nakubaliana kuwa wanatuona sisi ni kama nyani kabisa.
  8. Bhaghosha

    CHADEMA mbadili utoaji hotuba katika mikutano kutoka kuhabarisha na kuwa ya kutia hasira ya mabadiliko

    Nimefuatilia mikutano ya CHADEMA ya hivi karibuni na hata huko nyuma na kuona kuwa imekuwa ni ya kelimisha zaidi na siyo kuhamasisha. Tatizo lake huishia hapo kwenye mikutano kwa kiasi kikubwa kwa sababu wanainchi wengi wanajua hakuna ambacho kinaweza kuitoa madarakani CCM. Kwani wapige kura...
  9. Bhaghosha

    Bill ya maji Arusha yapanda kwa asilimia 50%. Kuna nini?

    Wandugu, hivi mmepitia bili zenu za maji mwezi huu, hasa wa Arusha. Naona imepanda kwa karibu asilimia 50. Kuna nini kinaendelea. Ni hitilafu au ndiyo gharama ya maji imeongezeka? Inatisha.
  10. Bhaghosha

    Profesa Mruma na "Professional Rubbish" - CCM tusijesema hatukuambiwa

    Hivi huyu bado yupo huru? Kwa nini hajakamatwa na kuwekwa ndani kwa uhujumu uchumi? Maana naona anawasaliti watanzania wazi wazi. Ni dhahiri hajajiandaa, hajui kwa nini yupo hapo, na kivipi alikubali kuiwakilisha nchi wakati anajua hana uwezo kabisa. Umeona alivyojibu hadi jamaa hapo nyuma...
  11. Bhaghosha

    Nani kawakimbiza wafanyabiashara wa nchi jirani kariakoo? TRA au wafanyabiashara wenyewe wa kariakoo kwa ulaghai?

    Hizo ni sheria kandamizi ndo maana wanasema wamechoka na inatosha. Msiwalazimishe kufungua maduka. Afterall hata wakikusanya zinaenda kuliwa tuu.
  12. Bhaghosha

    OMBI: Rais Samia mrudishe William Lukuvi Wizara ya Ardhi

    Kuna wizara hazihitaji kuongozwa na mtu wa kizazi cha Halaiki.
  13. Bhaghosha

    Bongo Zozo ana hoja kuhusu uraia pacha kwa Watanzania

    Umakin U makini gani unatakiwa hapa? Bongo zozo anauliza, mtoto mtanzania wa kuzaliwa, au mtanzania wa kuzaliwa, kwa nini umnyang'anye uraia wake wa asili kwa kuwa kapata fursa huko Ulaya? Anachokisema, utanzania wake unabaki palepale. Anasema, mtoto wake ni mtanzania, anapenda kuwa mtanzania...
Back
Top Bottom