Mikutano ya hadhara kwa vyama ni njia mojawapo ya kufikisha ujumbe unaokusudiwa. Lakini pia hutumika kuleta hamasa au hasira/mori. Mnakumbuka Mtikila na Magabachori pale Jangwani.
Nawashauri sasa Chadema kugeuza approach. Katika wasemaji wao wachanganye pia watu wa aina ya Mwabukusi, au Askofu...
Wiki hii huko Arusha usiku wa manane watu wasiojulikana waling'oa mabomba yanayounganisha meter za maji na kuondoka nazo. Inasadikiwa siyo chini ya meter 25 katika eneo hilo. Wanainchi wanaamka asubuhi wanakuta maeneo yao yamefurika na maji.
Idara ya maji ilipojulishwa ilijivuta kuja kudhibiti...
Ni kweli akili ya miaka ya 70. Tunaitwa Gen X, hizi AI zako haziwezi kufunction ukitoa historia. Kikubwa hapa, Chuo hiki kina historia beyond Salim Ahmed Salim. So kukiname na SAS ni kukishusha sana.
Nchi ya ajabu sana hii. Mtu katolewa kwa incompetence halafu anahamishiwa kwenye shirika jingine ambalo liko kwenye mchakato wa kubinafsishwa. Unaona hata wanavyochekeana, hakuna userious kabisa hapo. Zero. Ni kweli mshale umerudi nyumbani na pia nakubaliana kuwa wanatuona sisi ni kama nyani kabisa.
Nimefuatilia mikutano ya CHADEMA ya hivi karibuni na hata huko nyuma na kuona kuwa imekuwa ni ya kelimisha zaidi na siyo kuhamasisha. Tatizo lake huishia hapo kwenye mikutano kwa kiasi kikubwa kwa sababu wanainchi wengi wanajua hakuna ambacho kinaweza kuitoa madarakani CCM. Kwani wapige kura...
Wandugu, hivi mmepitia bili zenu za maji mwezi huu, hasa wa Arusha. Naona imepanda kwa karibu asilimia 50.
Kuna nini kinaendelea. Ni hitilafu au ndiyo gharama ya maji imeongezeka? Inatisha.
Hivi huyu bado yupo huru? Kwa nini hajakamatwa na kuwekwa ndani kwa uhujumu uchumi?
Maana naona anawasaliti watanzania wazi wazi. Ni dhahiri hajajiandaa, hajui kwa nini yupo hapo, na kivipi alikubali kuiwakilisha nchi wakati anajua hana uwezo kabisa. Umeona alivyojibu hadi jamaa hapo nyuma...
Umakin
U makini gani unatakiwa hapa? Bongo zozo anauliza, mtoto mtanzania wa kuzaliwa, au mtanzania wa kuzaliwa, kwa nini umnyang'anye uraia wake wa asili kwa kuwa kapata fursa huko Ulaya? Anachokisema, utanzania wake unabaki palepale. Anasema, mtoto wake ni mtanzania, anapenda kuwa mtanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.