Yaan ukweli uko wazi nnapoonaga wababa wako serious kabisa kufukuza watoto wao kisa wamekosea na wanalala kwa amani kabisa wasijue mtoto yuko wapi ila mama hawezi Fanya ivo tena hatapata usingizi..pamoja na mapenzi yenu wanaume ilaa Mungu amewapa roho ngumu sana sio kama ya mwanamke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.