Recent content by Best Daddy

  1. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Sawa Mkuu. Naheshimu utetezi wako.
  2. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Hapana. Hili tuliangalie kwa upana, kwa maslahi ya ligi kwa ujumla.
  3. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Well ni sahihi Singida kuwaweka benchi wachezaji muhimu kama Trabi, Bada, Imoro, Ande hata Chukwu kwa mechi nzito kama hii na Yanga?? Then, unaingiza Chukwu akacheze beki wakati bechi una A. Tra Bi? Wewe kwako unaona sawa? Hii kwako ni kawaida??
  4. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Upangaji wa vikosi, kukosekana kwa ushidani kwenye pitch.
  5. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Leo ilikua ni Futuhi, tena ya wazi kabisa. Ila kwa hii ya TFF na bodi ya ligi lazima waingilie kati.
  6. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Nakumbuka Wolves walishawahi adhibiwa na FA sababu ya kupanga kikosi kilichotafsirika kuwa ni dhaifu. Kupitia point hiyo tu, angalia kikosi cha Singida dhidi ya Yanga. Hapa tu TFF wakisimamia hii mechi lazima adhabu zitolewe.
  7. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Andiko langu linazungumzia msimu huu, labda sijakuelewa point yako Mkuu.
  8. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Ila kupitia mechi ya leo naamini TFF na bodi ya ligi lazima wataamka kutoka usingizini. Ni fedheha kubwa kwa ligi yetu.
  9. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Pendelea sana kuamini kile ulichokiona. Jitahidi sana kuyaamini macho yako.
  10. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Tulionya mapema kuwa hii mipango haisaidii, wote tumeona kimataifa Yanga alivyo-struggle while mechi za nyumbani anatamba tu.
  11. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Mwanzo ilikua ni ngumu sana kuthibitisha, ila kama mamlaka hawata simama hata katika hii Mechi dhidi ya Singida, basi wajiudhuru tu maana kazi imewashinda.
  12. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Naomba tutafute mbinu ya kuokoa ligi yetu tunayoinasibu kuwa ni bora.
  13. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Si mchezo aisee. Hata hizi motisha zinapaswa kutazamwa upya, kwanini zinawekwa kwa timu moja pekee. Kama ni matokeo chanya kwanini ilitolewe kwa timu zote zenye ubora.
  14. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Niliitazama mechi zake na dodoma au hata mashujaa. Labda tuseme Simba kwa sasa ni mid team, lakini Yanga uwezo wake ni mkubwa sana.
  15. Best Daddy

    Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

    Maana yake Yanga ni bora sana kwa wakati huu. Sawa.
Back
Top Bottom