Kabisa.
Mimi napenda jinsi anavyoonyesha na kupokea upendo kwa watu wa familia yake.
Huyu wa kwetu yeye hana sehemu maalum ya kukaa ila popote anapokaa mwanafamilia na yeye atakuja kujibana hapo hapo.
Usiku huwa habanduki chini ya kitanda cha mwanangu.
Hata ufanyaje hatoki hapo mpaka huyo...
Paragraph ya mwisho imenivutia sana.
Paka ana akili na upendo sana na ni mlinzi mzuri dhidi ya wadudu wabaya
Watu hawajui tu,ukishafuga paka hutakaa tena uweze kuishi bila paka.
@mods please ikiwapendeza naomba nisaidie kufuta huu uzi.
Sikutegemea utageuka wa ngono.
Napenda pets.SANA,
Nina mbwa pia.Wana akili kuliko baadhi yetu mandingo.
Niliamini Kuna wapenzi wenzangu wa paka hapa tufurahie na kufundishana kuhusu wanyama ila baada ya kupost ndio nimekumbuka niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.