Mmmh! Natamani kujua ulitumia aloe vera gel pekeake? Na kama ndio ulitumia kwaa jili ya nn/kwa lengo lipi, kama ulitumia hicho pekeake kwa tatizo la Bp nkupe pole kwasababu hata ungetumia vifike 50 hakiwez kuondoa Bp, hivyo unavyo viona apo pichan ni doz ya kutumika kwa wakat mmoja, je ww...
Tatizo la Bp kwa sasa kwa miaka ya hivi karibu limeonekana kukua kwa kasi zaid ukilishana na kipindi cha nyuma, hii ni kutokana mfumo wa maisha tunayo ishi sio mzuri hasa katika mfumo wa ulaji/unywaji vyakula/vinywaji pasipo kuzingatia kanuni bora za kiafya, na kuangikia ktk mardhi sugu kama...
Apo unaweza kuongezea ndizi, vitunguu swaum, tikit maj( vizur ukala na mbegu zake), parachich, asali, mbegu za maboga, hivi pia vina vinavirutubisho ktk kujenga/kuimarisha mfumo wa uzaz
Upo sawa kabisa japo ukubwa wa tatizo wa weza kutofautiana kati ya mtu na mwingine, hivyo kufanya mwingine kuhitaj virutubisho kwa wingi zaid kulingana na ukubwa wa tatizo lake
Pole, je usha wahi tumia bidhaa za forever za nguv za kiume zisikufae???, ikiwa jibu ni ndio, ulitumia bidhaa ipi? Na ulitumiaje?, bila shaka ulikutana na Dr feki alikupa bidhaa isiyo
Pole, je usha wahi tumia bidhaa za forever za nguv za kiume zisikufae???, ikiwa jibu ni ndio, ulitumia bidhaa ipi? Na ulitumiaje?, bila shaka ulikutana na Dr feki alikupa dawa isiyo
Ndugu wengi wameshndwa kuziamin 4ever kw sababu wasambazaj wabidhaa walio wengi wamebez zaid kufanya biashara kuliko kusudio lake kiafya, mana hiz ni sawa na ukienda hospital ukutane na Dr asie na uelewa mzur atakupa dawa ambazo haziendan na tatzo lako na hazta kufaa kwa tatzo lako, vlevle...
WAPO WANAUME WANAPITIA CHANGAMOTO HII. SHARE ! SHARE
Kama mwanaume unajisikiaje kupitia jambo hili?
Kwangu ilikua ngumu sana,
nakumbuka mwanzoni mambo yalikua yanaenda vizuri huko ndani. Mwanamke alinifurahia sana na kwa kweli nilijiona mwanaume. Baadae mambo yalibadilika nilianza kukosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.